MwanaJF aliyetabiri ajali ya ndege nashauri naye apewe ajira na Serikali

MwanaJF aliyetabiri ajali ya ndege nashauri naye apewe ajira na Serikali

Watasema nimetumia ID nyingine kujipigia promo,mbona MAGUFULI niliona kabla hajawa rais mpaka 2021 mkeka ukatiki.MODS wameona aibu imebidi waufufue uzi wangu ili wanaobisha kwenye ajari ya ndege waone kwamba kukataa kwao hakuondoi kipaji ambacho mungu amenipa.Mimi huwa napelekwa kuonyeshwa jambo linapotokea popote pale duniani na naliona kama lilivyo,yaani kama ndege ni ndege na kama meli ni meli
Tutabirie mkeka tubet
 
Nasikia ameisha ajiriwa na Kampuni za Betting ili asitoe siri.
 
Serikali yetu haitambui kitu kinacho itwa kipaji labda angetokea kwenye ukoo wa kikwete mwimyi au nyelele
 
Watasema nimetumia ID nyingine kujipigia promo,mbona MAGUFULI niliona kabla hajawa rais mpaka 2021 mkeka ukatiki.MODS wameona aibu imebidi waufufue uzi wangu ili wanaobisha kwenye ajari ya ndege waone kwamba kukataa kwao hakuondoi kipaji ambacho mungu amenipa.Mimi huwa napelekwa kuonyeshwa jambo linapotokea popote pale duniani na naliona kama lilivyo,yaani kama ndege ni ndege na kama meli ni meli
Niwekee link ya huo uzi wa Magufuli,, sikubahatika kuusoma.
 
Wadau natumai Ni wazima;

Nilipata faraja Sana kuskia kijana alieongoza kuokoa watu kuwa serikali ilimuona na ikampatia ajira,naipongeza Sana serikali kwa hili.

Lakini mimi nmekaa nikifkiria nikaona memba wa humu aliyetabir hii ajali nae afikiriwe na Serikali maana huyu ndo ana umuhimu mkubwa sana kwa usalama wa maisha ya watu,maana ametudhihirishia kuwa anao uwezo wa kutabiri mabaya yanayokuja mbele yetu, utabiri wake ukifanyiwa kazi inawezekana kabisa kuzuia ajali.

Karibuni kwa maoni
Asante sana maana umewaza tofauti kabisa na sisi wengine wote[emoji818][emoji817][emoji1752]
 
Ukiwatabiria mabaya japo ni ya kweli watakufunga.
 
Watasema nimetumia ID nyingine kujipigia promo,mbona MAGUFULI niliona kabla hajawa rais mpaka 2021 mkeka ukatiki.MODS wameona aibu imebidi waufufue uzi wangu ili wanaobisha kwenye ajari ya ndege waone kwamba kukataa kwao hakuondoi kipaji ambacho mungu amenipa.Mimi huwa napelekwa kuonyeshwa jambo linapotokea popote pale duniani na naliona kama lilivyo,yaani kama ndege ni ndege na kama meli ni meli
Mkuu mshukuru sana Mungu kwa kipaji hicho. Kitumie kubadili maisha yako na kusaidia watu wengine. Binafsi sikufahamu ila I feel very proud of you
 
bora aendelee tu kujificha, maana ninavyowajua watz kwa kupenda ku entertain ujinga, siku akijitokeza na akathibitisha ni yeye, yafuatayo yanaweza kutokea.

wanaomini ushirikina na masuala ya unajimu watamzongazonga sana ili awabashirie mambo yao.

wanasiasa hususun wa ccm watamdaka juu kwa juu wakidai ni mtu wao wa siku nyingi, watamfanya ni ajenda kuu na ikulu au bungeni dodoma watampeleka.

waandishi uchwara wa online media watakimbizana huku na huko kumuhoji ili wapate content.

bila kusahau jeshi la polisi litamtaka aende kituo cha polisi kwa mahojiano zaidi kuhusu utabiri ule na mengineyo.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na wewe ni baba wa familia daaah!
Mkuu unajuaje kama ni baba wa familia?

Kuna watu humu wanajifanya vidume lakini muda wa kulala hugeuza trako kwa mwanaume mwenzake ili usingizi uje.

Soo faken😡
 
Watasema nimetumia ID nyingine kujipigia promo,mbona MAGUFULI niliona kabla hajawa rais mpaka 2021 mkeka ukatiki.MODS wameona aibu imebidi waufufue uzi wangu ili wanaobisha kwenye ajari ya ndege waone kwamba kukataa kwao hakuondoi kipaji ambacho mungu amenipa.Mimi huwa napelekwa kuonyeshwa jambo linapotokea popote pale duniani na naliona kama lilivyo,yaani kama ndege ni ndege na kama meli ni meli
''Braza'' daaah!
Wakati mwingine nawaza au kuna jopo la wachawi(WANASIASA) waliiratibu ajali ndo wakakutuma uje utuandae kisaikolojia!!!
 
Back
Top Bottom