Wilfred Ramadhan
JF-Expert Member
- Apr 7, 2022
- 503
- 905
Tutabirie mkeka tubetWatasema nimetumia ID nyingine kujipigia promo,mbona MAGUFULI niliona kabla hajawa rais mpaka 2021 mkeka ukatiki.MODS wameona aibu imebidi waufufue uzi wangu ili wanaobisha kwenye ajari ya ndege waone kwamba kukataa kwao hakuondoi kipaji ambacho mungu amenipa.Mimi huwa napelekwa kuonyeshwa jambo linapotokea popote pale duniani na naliona kama lilivyo,yaani kama ndege ni ndege na kama meli ni meli
Usiku ukiwa unaoga unakuona live kwa maonoMaono,umepewa karama kubwa sana itumie mkuu
Niwekee link ya huo uzi wa Magufuli,, sikubahatika kuusoma.Watasema nimetumia ID nyingine kujipigia promo,mbona MAGUFULI niliona kabla hajawa rais mpaka 2021 mkeka ukatiki.MODS wameona aibu imebidi waufufue uzi wangu ili wanaobisha kwenye ajari ya ndege waone kwamba kukataa kwao hakuondoi kipaji ambacho mungu amenipa.Mimi huwa napelekwa kuonyeshwa jambo linapotokea popote pale duniani na naliona kama lilivyo,yaani kama ndege ni ndege na kama meli ni meli
Asante sana maana umewaza tofauti kabisa na sisi wengine wote[emoji818][emoji817][emoji1752]Wadau natumai Ni wazima;
Nilipata faraja Sana kuskia kijana alieongoza kuokoa watu kuwa serikali ilimuona na ikampatia ajira,naipongeza Sana serikali kwa hili.
Lakini mimi nmekaa nikifkiria nikaona memba wa humu aliyetabir hii ajali nae afikiriwe na Serikali maana huyu ndo ana umuhimu mkubwa sana kwa usalama wa maisha ya watu,maana ametudhihirishia kuwa anao uwezo wa kutabiri mabaya yanayokuja mbele yetu, utabiri wake ukifanyiwa kazi inawezekana kabisa kuzuia ajali.
Karibuni kwa maoni
Anahitaji jeki kidogo tu atabiri makubwa zaidiAisee yule jamaa ni hatari
Mkuu mshukuru sana Mungu kwa kipaji hicho. Kitumie kubadili maisha yako na kusaidia watu wengine. Binafsi sikufahamu ila I feel very proud of youWatasema nimetumia ID nyingine kujipigia promo,mbona MAGUFULI niliona kabla hajawa rais mpaka 2021 mkeka ukatiki.MODS wameona aibu imebidi waufufue uzi wangu ili wanaobisha kwenye ajari ya ndege waone kwamba kukataa kwao hakuondoi kipaji ambacho mungu amenipa.Mimi huwa napelekwa kuonyeshwa jambo linapotokea popote pale duniani na naliona kama lilivyo,yaani kama ndege ni ndege na kama meli ni meli
Mkuu unajuaje kama ni baba wa familia?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na wewe ni baba wa familia daaah!
''Braza'' daaah!Watasema nimetumia ID nyingine kujipigia promo,mbona MAGUFULI niliona kabla hajawa rais mpaka 2021 mkeka ukatiki.MODS wameona aibu imebidi waufufue uzi wangu ili wanaobisha kwenye ajari ya ndege waone kwamba kukataa kwao hakuondoi kipaji ambacho mungu amenipa.Mimi huwa napelekwa kuonyeshwa jambo linapotokea popote pale duniani na naliona kama lilivyo,yaani kama ndege ni ndege na kama meli ni meli