Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana,Hatumfahamu Tukijua sio Mbaya.Ya msiba?
Hutaki kufa ?Baba unitie nguvu nimalize mwendo salamaaaa (ninaimba tu)
Ashatwaliwa tumuache apumzike kwa AmaniHapana
Hapana,Hatumfahamu Tukijua sio Mbaya.
Kwa hiyo unataka kuinsinuate kwamba Bia yetu ndio Jiwe!Mkuu umenifanya niwaze mara mbili.
Bia=Pombe.
Halafu mwisho wa kuchangia ni enzi za John Pombe?????
Kalemela= kahemela?Ninayo masikitiko makubwa kuwataarifu msiba wa mwenzetu Erick Kalemela uliotokea nchini India jana tar 23 Mei 2022 saa 3 asubuhi majira ya India, alipokuwa anapokea matibabu.
Mwili unatarajiwa kuwasili siku ya Alhamisi kwa ajili ya taratibu za mazishi yatakayofanyika kwao Kahama. Hadi sasa msiba uko nyumbani kwake/kwao Kahama.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
RIP mwana JFNinayo masikitiko makubwa kuwataarifu msiba wa mwenzetu Erick Kalemela uliotokea nchini India jana tar 23 Mei 2022 saa 3 asubuhi majira ya India, alipokuwa anapokea matibabu.
Mwili unatarajiwa kuwasili siku ya Alhamisi kwa ajili ya taratibu za mazishi yatakayofanyika kwao Kahama. Hadi sasa msiba uko nyumbani kwake/kwao Kahama.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
Pumzika kwa amani Erick...hakika wema hawana maisha😣Nimalizie kwa kusema kuwa
Tunao viongozi wa vijiji,pamoja na kata
Lakini pia tunavyombo vya Dola vyenye watu waadilifu, ukiondoa mapungufu ya watumishi wake wachache
Tuvitumie vyombo hivi kiuchumi
Ikiwemo sehemu za migodi ya wachimbaji wadogo.
Kipindi mgodi umechanganya kuna siku moja nimewahi kuzunguka na timu ya ugawaji niliona msimamizi pekee/Ofisi ikiondoka na milioni 20
Hapo mtu hajaingiza gharama yoyote wala kulipa kodi.
Hii haikubaliki.
Lakini pia ningeomba hawa wazee waangaliwe kwa jicho la Huruma wametumia akili na jasho lao kuvumbua madini
Najua kupitia maandishi haya yanaweza kuniletea shida
Lakini Mungu ni mwema wakati wote
"Haliwezi kukufika jambo lolote kama mola hajapanga"
Ahsanteni sana ndimi
Erick P Kalemela.
Halmashauri ya msalala, Kahama.
Kata ya Bulyanhulu,
Kijiji cha Busulwangili.
Whatsapp no. 0652881000.
Ni sahihi kabisa. Ni yeyeApumzike kwa amani. huyu bwana alikua anaishi kakola?. kwasababu kuna dada mmoja nlipanda nae gari anaenda msibani kakola siku ya tarehe24 nkakaa nae siti1 na akaniambia kaka yake kafariki tarehe23 huko India, kwaiyo naona hizi taarifa mbili zinafanana.
Kwanini Allah abaki pekeyake, huoni huo ni ubaguzi dhidi ya Binadamu?