TANZIA MwanaJF mwenzetu Ramaa Tech afariki dunia kwa ajali ya pikipiki

Niliongea nae saa 15:00 saa 18 napata taarifa kuwa amefariki kijana alikua anajituma sana katika shughuli zake hizo. Lakini all in all kazi yake mola haina makosa. Chini ni baadhi ya kazi zake alizowahi kuzifanya wakati wa uhai wake.
Pole sana kwako na familia yote kwa msiba. Mungu ampumzishe mahala pema!
 
Inalilah waina ilaih rajiun
 
ushauri wangu
kama hakuna ulazma wa kupanda boda boda au huna haraka ya unakoenda tafadhali usipande boda boda. haki ya nan hz boda znamaliza vijana wenzetu.
Kuanzia leo, nimekoma na nitauzingatia sana huu ushauri.
Wife amekua akinikataza sana matumizi ya bodaboda, na wakati mwingine amekua akinisisitiza kupanda daladala kama naona gari yangu inamatatizo.
 
RIP
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…