Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Nyenyere

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2010
Posts
14,804
Reaction score
10,715
Hii ndio mambo tusiyopenda, mwanamama anahojiwa na Anthony Joseph anadai kazalishwa na askofu. Half katelekezwa.

> Anasema yu tayari kupima DNA
> Anasema mtoto ni mjanja mjanja kama Gwajima.



IMG_4270.JPG
 
Hii ndio mambo tusiyopenda, mwanamama anahojiwa na Anthony Joseph anadai kazalishwa na askofu. Halafu katelekezwa. Anasema yu tayari kupima DNA. Anasema mtoto ni mjanja mjanja kama Gwajima.
Akamwambie Bashite alete vyeti kwanza hio tbc/uhuru redio cha chama inatumia nguvu nyingi sana kutetea mtu aliyepata zero
 
Hilo sio tatizo na wala sio habari ya kusisimua.

Umezaliwa na kusoma kwa jina la Daudi Bashite kuanzia primary mpaka Secondary.

Una-fail form 4 alafu unatumia cheti cha mtu mwingine kwenda chuo alafu unakuwa mkuu wa mkoa kwa jina la Paul Makonda.

Baadae siri zinatoka badala ya kutoa vyeti ili ujitetee unaamua kwenda kulia kanisani ili upate huruma za wananchi.

Hili sasa ndio TATIZO na hii ndio habari ya kusisimua.
 
CCM inafanya mambo ya kitoto..., wanamuanza wenyewe Gwajima akijibu wanasema asemehe.... Uhuru fm ni kituo cha chama inajulikana ilo angalau hata angeenda E-FM ningemuelewa kidogo.
 
Back
Top Bottom