Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Mkuu una vielelezo? Maana Radio yenyewe uliyoitaji bora hata TBCCM. Hiyo radio ni kada namba 1. Ungekuwa hauna vinasaba vya kibashite bashite usingeandika kiumbea hivyo.
Chukulia hilo linalosemwa ni la kweli, je, alimbaka au alivua/ kuvuliwa nguo kwa hiari yake? Kama ni kwa hiari yake shida iko wapi?
 
Hii ndio mambo tusiyopenda, mwanamama anahojiwa na Anthony Joseph anadai kazalishwa na askofu. Halafu katelekezwa. Anasema yu tayari kupima DNA. Anasema mtoto ni mjanja mjanja kama Gwajima.
Wakienda huko 2% ya wanaume Tanzania watasalimika. Gwajima endelea na simulizi kesho maana wanakubeep.
 
KUNA DADA AITWAE MAMA MAX YUPO KATIKA REDIO UHURU AKITOA USHUHUDA WA KUTIWA UJAUZITO NA KUZALISHWA NA ASKOFU MAARUFU KWA KUDANDIA NA KUROPOKA HOVYO , SASA NA HILI NALO ALIVALIE NJUDA HUKO KANISANI, TAPELI BIN FUSKA MKUBWA
Kama kituo chenyewe ni Radio Uhuru basi elewa kuwa ameshanunuliwa Huyo! Ila ajiandae kuikimbia Dar.
 
shauri yao acha watafute kiki na Gwajima watamjua sura yake kamili. Hamjatueleza issue za vyeti na magari ya waalifu kwa Bashite mnatuletea maneno. You can't fool us. Tunataka Cheti na ufafanuzi wa hayo magari kwa Bashite. Issue ya kuzalishwa na kuachwa haina mashiko sio ajabu walimtuma na wanaohoji wametelekeza pia. Ngoja Gwajima ajibu ndo mtajua
 
duh!imepimwa dna?au chuki zako tu sababu ya bashite?huyo ndg yenu ushahidi uko wazi na kashindwa kukana au kuonesha vyeti.haya shikilieni hapo hapo tuone
 
Keshoooo nishapata pakwendaaaa kwa gwajimaaaa najua atawajibu hawa misukule
 
Aweke
KUNA DADA AITWAE MAMA MAX YUPO KATIKA REDIO UHURU AKITOA USHUHUDA WA KUTIWA UJAUZITO NA KUZALISHWA NA ASKOFU MAARUFU KWA KUDANDIA NA KUROPOKA HOVYO , SASA NA HILI NALO ALIVALIE NJUDA HUKO KANISANI, TAPELI BIN FUSKA MKUBWA
Aweke ushahidi wa kutiwa mimba hapo..
 
Huyu sindiyo aliiba mmke wa mbasha pia.
 
KUNA DADA AITWAE MAMA MAX YUPO KATIKA REDIO UHURU AKITOA USHUHUDA WA KUTIWA UJAUZITO NA KUZALISHWA NA ASKOFU MAARUFU KWA KUDANDIA NA KUROPOKA HOVYO , SASA NA HILI NALO ALIVALIE NJUDA HUKO KANISANI, TAPELI BIN FUSKA MKUBWA
Mtatapatapa sana mwaka huu. Kashfa ya Askofu haiwezi kumsafisha mtu wenu.....
 
Back
Top Bottom