Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Tumalize kwanza la Bashite, la huyo mama ni very personal kama hajuwi aelekezwe aende usitawi wa jamii watamaliza issue yake kama jambo lake ni kweli. Lakini hata kwa hisia tu hamna kitu hapo ndo maana kapeleka kwenye hiyo Redio.Na hili swala la Bashite lisipo shughurikiwa mapema, tutashuhudia kila aina ya Ngwala zikipigwa
 
34bc76b743b63690e9f415d7c5a8b2db.jpg
 
Ahaaaaa...sasa yeye alitumia busara gani kumshambulia bwana yule>?? si angekaa kimya tu

mshambuliwa ndo unauchuna ndugu .... Kama hauna aduia kama ndugu yule, watu wanachuna, wanajua mtu mzima kagafilika. Unafikiri wa Tanzania ni wa noko basi? mbaya ukiwa mjuaji ndo watakumaliza!
 
Frikwensi gani tumsikilizw huyo kada

Kiufupi mimi siwezi kumtetea gwajima katika hili,
Inawezekana alikula tunda... Namshauri tu gwajima amlee huyo mtoto basi.

Ila bashite alete vyeti.
Teh teh teh teh teh teh hicho kiswahili nimekisevu
 
Hii ndio mambo tusiyopenda, mwanamama anahojiwa na Anthony Joseph anadai kazalishwa na askofu. Halafu katelekezwa. Anasema yu tayari kupima DNA. Anasema mtoto ni mjanja mjanja kama Gwajima.
Wa kufoji huyo Dada!
kwa kuwa station yenyewe ni ya Mafisiem.
na jamaa wenyewe ni mafojari wakubwa.
 
Hii ndio mambo tusiyopenda, mwanamama anahojiwa na Anthony Joseph anadai kazalishwa na askofu. Halafu katelekezwa. Anasema yu tayari kupima DNA. Anasema mtoto ni mjanja mjanja kama Gwajima.
Kesho lazima Gwajima awashe [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Hata kwenye vitabu vya dini vimeandika ikimbie zinaa.

Wachungaji mjue wana wakati mgumu sana wanavyowaombea hawa watoto wa kike.
Kuna majaribu mengi sana...
Gwajima lako hili baba.

Ila bashitee hatumwachi pia
 
Kapeleka dude mwenyewe hakutoa tangazo.sasa anakuja kututangazia ili nasi tukamgegede.ufuska wake...! Twajua katumwa hata hivyo suala la msingi ni vyeti.!!!!!!vyeti jamani !usitutoe kwenye suala la vyeti vya kugushi. wewe kama alikukula tafuta na mwingine aendelee kukunogesha .pimbi jike !
 
Back
Top Bottom