Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Hii ndio mambo tusiyopenda, mwanamama anahojiwa na Anthony Joseph anadai kazalishwa na askofu. Half katelekezwa.

> Anasema yu tayari kupima DNA
> Anasema mtoto ni mjanja mjanja kama Gwajima.


View attachment 483081
Tulinganishe maneno ya kwenye clip na rekodi zilizo kwenye kadi.

Huyo msichana anasema alifukuzwa kipindi cha kampeni za uchaguzi wa Rais mwaka juzi akiwa na ujauzito wa mwezi mmoja, let's assume ilikuwa October

then katika hali ya kawaida tunatarajia mtoto azaliwe mwezi wa saba 2016

Lakini kadi inaonyesha mtoto alizaliwa mwezi disemba 2016, yaani kama ni kuzaliwa amezaliwa akiwa ni ujauzito wa miezi si chini ya 14.

Exceptional!
 
Huyu mama anajidhalilisha sana
 
Awe mchungaji asiwe mchungaji namwamini hadi pale bashite atakapomsuta kwa kuonyesha vyeti vyake. Hiyo nguvu uliyotumia kumchafua Gwajima ungewekeza kumsisitiza bashite aweke vyeti nadhani ingesaidia kupunguza idadi ya wafuasi wanaomiminika kwa baba askofu... 2moro nyomiiiiiiiiiiiiiiii
 
sasa bashite si bora angemchukua huyo mtoto awe wake maana nasikia huu mwaka wa kumi kwenye ndoa lakini hana hata mtoto wa kusingiziwa
Ha ha ha amchukue mtoto wa GwaJ? Mtoto wa paka na wa panya hawawezi kucheza pamoja
 
Bashite kafanya kosa kupeleka huo uongo wake uhuru, bora angewashinikiza hau kuwalipa Star tv inge make sense kidogo.
 
Ukumbuke huyo Daudi ameshindwa kumtia mimba
 
Gwajima ...tupe ukweli Wa huyu bibie.....ukimshinda bibie huyu mpeleke mahakamani...mdai fidia kiasi cha milioni 200 tu....kwakukudhalilisha...kisha hizo pesa peleka kwa watoto yatima ili iwe funzo kwa wengine kununuliwa nunuliwa kijinga.......ila bashite alete vyeti ........
 
msituaminishe ujinga apa kwenden zenu uko, sisi tunataka vyeti apa, hamjui kama kumpa mtu mimba na kumzalisha ni moja ya sifa ya kidume? we kama huzalishi bas sio me bali ni ke! tupia vyet mezan apo tuone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…