Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Kweli hilo kadi fekero nimemuuliza ma wii kanambia sindano hazifatani hzo, hafu kad halijaandikwa hata mtaa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kadi haina jina la klinik pia jina la mtaa jamani bashite kweli ana master ya kufoji kha
 
Huyo mama max anadai yuko tayari kupima DNA, wapi, kwa mkemia mkuu ?. Kwani alibakwa?. Si ni mapepo yake mwenyewe.
 
Duu
Nashauri gwajima amkamate huyo dada ampeleke mahakamani ili akahojiwe vizuri akishindwa tu, amtaje aliyemtuma!

Halafu tumalizie na issue ya vyeti
yaani jamaa kanunua hadi wazazi??? Cheo si mchezo!!
 
Wanaume wa Dar mnaongea kimbea sana, madhara ya breakfast ya kashata na kakikombe kamoja ka kahawa.
 
Kijijini nesi,mkunga na mtoa dawa ni mmoja tu.
Toeni hadharani vyeti vya makonda ili nae awa prove wrong kama mnavyojaribu kutetea uzinzi.
Mahita aliumbuka kwa mambo kama haya
Siyo dar tena????ni kijijini ???
 
Hivi mkuu Wa mkoa badala ya kumsaidia mwanamke "aliyetelekezwa" kwa njia za kisheria au hata ustawi Wa jamii, unarusha clip kwenye mitandao??? unawatishia watu na bunduki ili wazirushe redioni??? Baada ya hapo unakaa pembeni kusikilizia Bomu linavyompasukia kiongozi Wa kikristo, na wewe unajiita mkristo, huku unafanya dhihaka ya kuwatukanisha na kuwadharirisha viongozi Wa imani, na watu wanakushabikia??? Hawajui kwamba ni hasara juu ya Roho na miili yao.
 

Shida ni kutelekeza mtoto
 
Hii ndio mambo tusiyopenda, mwanamama anahojiwa na Anthony Joseph anadai kazalishwa na askofu. Half katelekezwa.

> Anasema yu tayari kupima DNA
> Anasema mtoto ni mjanja mjanja kama Gwajima.


View attachment 483081
Hizo kadi wanaandika manesi huwa wanajaza vituko vitupu huwezi amini
 
Haya ngoja tuone....maana Bunge lijalo ni la bajeti

Usije tu ukahama humu mimi ni mtanzania si ccm wala chadema ila hili swala la bashite ni la kitaifa atuachie mkoa wetu wa wauza mihogo arudi kwao kolomije l
 
Usije tu ukahama humu mimi ni mtanzania si ccm wala chadema ila hili swala la bashite ni la kitaifa atuachie mkoa wetu wa wauza mihogo arudi kwao kolomije l
Hahaha basi wewe ni drug dealer....yaani Rais amuondoe Makonda kisa nyie wauza unga kumuanzishia vita mteule wake baada ya kuwakurupusha mchana kweupe mkiuza unga....poleni na nendeni mlitumie Bunge limuondoe
 
Hahaha basi wewe ni drug dealer....yaani Rais amuondoe Makonda kisa nyie wauza unga kumuanzishia vita mteule wake baada ya kuwakurupusha mchana kweupe mkiuza unga....poleni na nendeni mlitumie Bunge limuondoe

Ndio mnachokimbilia na gari la muuza unga kuwa nyumbani kwa bashite je
 
kweli Uhuru Fm Ndio ilipofikia!!!

kweli acha tu Mtukufu aendelee kusikiliza CLOUDs FM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…