Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Ndio mnachokimbilia na gari la muuza unga kuwa nyumbani kwa bashite je
Hizo habari zenu bado ni muendelezo uleule wa kipuuzi kumzulia mtu uongo mkijua aliyemteua atawasikiliza.....halafu mlivyo waajabu kuonesha dhamira yenu sio vyeti tu. Kila siku mnaibuka na hili mara lile...yani mnatia aibu hata mtoto mdogo kaishajua nyie mnataka tu kichwa cha Makonda....kitu ambacho JPM kaishawashtukia na sidhani kama anajisumbua kuwasikiliza
 

Dar ilikuwa na watoto wa mjini wewe kina dito na wengine sembuse huyo kolomije na ziro yake mfyuu
 
Dar ilikuwa na watoto wa mjini wewe kina dito na wengine sembuse huyo kolomije na ziro yake mfyuu
Ndo hivyo aliyepo juu sasa ana utashi endeleeni kuishi kwa historia mkatae kubadilika....
 
Huyo dada amechemsha; ukimsikiliza vizuri utagundua alibeba mimba October 2015 halafu amejifungua December 2016, kwa hesabu ya kirumi alibeba mimba miezi 14 ni uongo ulikithiri.
 
Imedoda hii hakuna ukweli hapo na soud hii ishu imeshaanza kumuumbua aisee mange ni noma
 
Hizi Njaa, na vitamaa vya mia mia ndio vinemdhalilisha na kudhalilisha Wanawake wenzie

Bint wa Dodoma huyu njaa tu , alaf tizama source????

Gwajima moto mnene ule

Lete vyeti
 
That is totally reckless behavior! Mungu wangu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…