twahil
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 4,100
- 2,795
Hizo habari zenu bado ni muendelezo uleule wa kipuuzi kumzulia mtu uongo mkijua aliyemteua atawasikiliza.....halafu mlivyo waajabu kuonesha dhamira yenu sio vyeti tu. Kila siku mnaibuka na hili mara lile...yani mnatia aibu hata mtoto mdogo kaishajua nyie mnataka tu kichwa cha Makonda....kitu ambacho JPM kaishawashtukia na sidhani kama anajisumbua kuwasikilizaNdio mnachokimbilia na gari la muuza unga kuwa nyumbani kwa bashite je