Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

"Mchungaji Gwajima anayo laana ya kumtukana kardinali Pengo, na kwa tafsiri ya kiAfrika, mtu mwenye laana siku zote hufanana na mtu aliyechanganyikiwa. AYAFANYAYO HUWA KITUKO.."
Mzee Makamba, 2016.

Sikujua kama mzee wangu Makamba ana kipaji cha utabiri, ila wazee kiujumla wanabusara sana.
 
Umepatwa na nini siku ya leo mrembo, maana naona kila baada ya dk kadhaa una post kuhusu Gwajima, as if ni kuku amebanwa ya yai mbuni anashindwa jinsi ya kulitaga.
 
Kwani alibakwa? Si alisalaula mwenyewe mpaka ikatlkea mimba!!! Cha ajabu nini kwenye hili??? Weka vyeti Bashite ujanjaunjanja wa kipuuzi Kama huo haukusaidii weka vyetiiii!! Unaleta mambo ya Kolomoje hapa!!!!!
Ni aibu mchungaji kuzaa nje ya ndoa...sio mchungaji kumbe ni askofu mkuu. Vyeti vitAtolewa mahakamani.
 
Lkn sio nje ya ndoa...je ndivyo dini na mungu anayemuamini anavyofundisha?
 
Kama mmepigwa mimba na Gwajima sisi haituhusu, tunachohitaji vyeti vya mkuu wetu wa mkoa
Inawahusu wanaojali na wale waumini wake...vyeti vitatolewa mahakamani sio mtandaoni.
 
Hata wakituaminisha na hatimaye tukaamini kuwa Gwajima ndiye ibilisi na shetani yule mwovu anayenenwa na vitabu vitakatifu, bado haitafuta ukweli kuwa makondakta kapiga figisu katika elimu yake na utajiri wake.
Hata ukiamini haimfanyi asifanye kazi
 
Alete wapi? Gwajima si alisema anavyo ofisini kwake?
 
Sasa huo ndio UANAUME. Ukiona maishani mwako hujawahi kushitakiwa kwa masuala ya mimba basi usisumbue binti za watu kuwapa wazeekee kwako km masista wa Kanisa Katoliki
Sio kwa nje ya ndoa kwa askofu unamislead waumini wako
 
Kweli kughushi ni jinai na hukumu yake miaka saba mpk 15. Mahakama pekee ndio yenye uwezo wa kutoa hukumu sio gwajima. Nendeni mahAkamani vyeti vinakuja.
 
Nyie subirin kesho ndo mtaona movie ...bashite kaona maji yememfika shingoni anaamua kutumia mabavu na kuleta cheap accusations kama hizi
 
Halafu wengi wanotoka povu humu nahisi niwaumini wake huyu jamaa sio bure..
Mimi ni mu RC safi kabisaa ila sikubaliani na huu ujinga wa Bashite kutaka kujisafisha kwa mgongo wa Gwajima kumpa mimba mtoto
Mwambie alete vyeti yataisha
 
Tumuombee kwa Mungu huyo mtoto asijeuza unga kama baba yake na kufanya jamii misukule.

Hebu oneni aibu hata kufoji humjui
Dada mwenyewe kudanganya hajui maskini anafinya finya macho machozi hayatoki bora wangewapeleka bongo movie labda tungeona machozi.
Huyu dada ni muongo hata kwa muonekano Sasa subiri aombewe mikosi na balaa kwa kuwasingizia watumishi wa Mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…