Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Huu ulikuwa ni utabiri wa mzee Makamba
Mzee Makamba: Mchungaji Gwajima anayo laana ya kumtukana Kardinali Pengo
Screenshot_2017-03-19-02-08-04.png
 
"Mchungaji Gwajima anayo laana ya kumtukana kardinali Pengo, na kwa tafsiri ya kiAfrika, mtu mwenye laana siku zote hufanana na mtu aliyechanganyikiwa. AYAFANYAYO HUWA KITUKO.."
Mzee Makamba, 2016.

Sikujua kama mzee wangu Makamba ana kipaji cha utabiri, ila wazee kiujumla wanabusara sana.
 
Umepatwa na nini siku ya leo mrembo, maana naona kila baada ya dk kadhaa una post kuhusu Gwajima, as if ni kuku amebanwa ya yai mbuni anashindwa jinsi ya kulitaga.
screenshot_2017-03-19-00-10-39-png.483154
 
Kwani alibakwa? Si alisalaula mwenyewe mpaka ikatlkea mimba!!! Cha ajabu nini kwenye hili??? Weka vyeti Bashite ujanjaunjanja wa kipuuzi Kama huo haukusaidii weka vyetiiii!! Unaleta mambo ya Kolomoje hapa!!!!!
Ni aibu mchungaji kuzaa nje ya ndoa...sio mchungaji kumbe ni askofu mkuu. Vyeti vitAtolewa mahakamani.
 
Ahaa! Sasa naanza kupata picha, kwa hiyo ni video ya kumpaka unaa Baba Askofu Mpendwa Wetu Mtumishi wa Bwana Josephat Gwajima?

Kusingiziwa mtoto sio kesi kwa mwanaume, kesi ni kuambiwa mtoto unayesema ni wako sio wako.

Baba Askofu akose uzazi kweli...masihara hayo.
Lkn sio nje ya ndoa...je ndivyo dini na mungu anayemuamini anavyofundisha?
 
Hata wakituaminisha na hatimaye tukaamini kuwa Gwajima ndiye ibilisi na shetani yule mwovu anayenenwa na vitabu vitakatifu, bado haitafuta ukweli kuwa makondakta kapiga figisu katika elimu yake na utajiri wake.
Hata ukiamini haimfanyi asifanye kazi
 
Sasa Bashite umejimaliza kabisaaaa. Leta hapa JF vyeti vyako. Unavyozidi kuchelewa hata ikivipaka masizi vitaonekana vya kufoji. Utaalam huo ni wa siku nyiiingi.
Gwaji ni kiongozi mdogo saana. Kanisa lake halina watu unao waongoza weye. Lipo chini ya mamlaka yako ndo maana ukamuamuru aje ofisini kwako au kwenye ofisi uliyo na madaraka yako naye akaja akitetemeka kwani aliwahi kabisaaa.
Hatutaki kujisumbua naye, tunataka vyeti vyako ujisafishe tuuu baaasi. Acha maneno, lete vyeti
Alete wapi? Gwajima si alisema anavyo ofisini kwake?
 
Nimemuangalia huyo mlalamikaji nimebaki nacheka tu.
Huyo demu alivyo komaa kama makanyagio ya bata ndio gwajima apoteze mbegu zake bure hapo.
Yani mademu wote wale wakali wakali anao waombea, aishie kumla mpiga deki sakafu na mpanga viti wake!?!?
Aisee
But hey mtoto ni baraka lakini kugushi vyeti ni jinai.
Kama kamla its all good lakini kwa muonekano huo kama chuma chakavu sidhani kama baba Askofu alisuuza rungu hapo.
Kweli kughushi ni jinai na hukumu yake miaka saba mpk 15. Mahakama pekee ndio yenye uwezo wa kutoa hukumu sio gwajima. Nendeni mahAkamani vyeti vinakuja.
 
Nyie subirin kesho ndo mtaona movie ...bashite kaona maji yememfika shingoni anaamua kutumia mabavu na kuleta cheap accusations kama hizi
 
Halafu wengi wanotoka povu humu nahisi niwaumini wake huyu jamaa sio bure..
Mimi ni mu RC safi kabisaa ila sikubaliani na huu ujinga wa Bashite kutaka kujisafisha kwa mgongo wa Gwajima kumpa mimba mtoto
Mwambie alete vyeti yataisha
 
Tumuombee kwa Mungu huyo mtoto asijeuza unga kama baba yake na kufanya jamii misukule.
17333600_509578786096635_9216142885341102080_n.jpg

Hebu oneni aibu hata kufoji humjui
Dada mwenyewe kudanganya hajui maskini anafinya finya macho machozi hayatoki bora wangewapeleka bongo movie labda tungeona machozi.
Huyu dada ni muongo hata kwa muonekano Sasa subiri aombewe mikosi na balaa kwa kuwasingizia watumishi wa Mungu.
 
Back
Top Bottom