Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Kwa hiyo mtoa mada...
Mlianzisha la vyeti...likaback-fire nilidhani mmejifunza.....sasa tena ni issue ya uzinzi....polepole jamani mnazidi kuharibu.....turudi kwa issues za kuendeleza nchi sio kupambana na personalities. Nchi ya viwanda mikakati iko wapi?
 
Kuna kila dalili ya baba mchungaji kuwataka wanashilawadu wakiongozwa na sudi brown kuwasilisha vyeti vyao vya kidato cha nne na vyeti vyao vya taaluma ya kishilawadu......stay tuned and dont touch the dial ....kujua yatakayojiri kanisani leo
 
Hiyo kadi(RCH 1) haiweki uhalali kwamba mtoto ni wa Gwajima. Mimi mwenyewe ninazo hizo kadi kama tano hizi mpyaa kabisa naweza kujifungia ndani nikaandika chochote
 
vyeti on air gwajima atawanyoosha sana mwaka huu
 
Kuna video inazunguka mtaani ikimuonyesha binti aliyebeba mtoto akihojiwa na mtu aliyefunika uso wake,

Nimefanya uchunguzi binafsi nakujiridhisha video hii niyakughushi kama vilivyo vyeti vya Daudi Bashite.

Bila kuangalia maudhui yaliyokwenye video, mimi naangalia uhalali wa video na Kadi iliyowekwa hadharani kwamba ni kadi ya kliniki ya mtoto aliyebebwa na mama huyu.

Kuna mambo makuu mawili ambayo kitaalamu kwamjibu wa Sheria ya uchunguzi hasa Forensic Psychology,

Jambo la kwanza ili ugundue kuwa mtu unayezunguma naye au mtu anayezungumza mbele yako ni muongo, utayaona macho yake,

Kuna uongo wakulishwa yani unasisitizwa useme hivi:, na uongo wakutengeza mwenyewe, yani kipaji cha uongo mtu anachozaliwa nacho, hapa kwenye macho hutoa majibu mawili.

Uongo wa kulishwa: Mtu wa aona hiyo utamtambua wakati akiongea mboni za macho yake zile nyeupe zitakuwa zikionekana zote kanakwamba anatumia nguvu hii husababishwa na misuri ya macho kuuvutika...

Uongo wa Kutengeneza mwenyewe: Mtu huyu macho yake huwa hayatazami mbele, huangalia pembeni, Hurusha mikono mara kwa mara aongeapo, hupenda sana kujiapiza.

Kwadhana hiyo sasa nawapeni tafakuri kwa video hiyo muamue huyo binti na kijana anayemhoji aliyeamua kujifunika uso.

Lakini kadi iliyowekwa mitandaoni ikiambatana na video hii kwa lugha rahisi imeivuruga video na kudhihirisha kuwa video hiyo ni feki.

Kuna mapungufu mengi ndani ya kadi hii yanayofuta uhalali wake. Hii kadi mmeshindwa hata kuijaza?

1. Jina la hospital aliyozaliwa,

2. Jina la daktari au mkunga aliyemzalisha.

3. Mhahali anapoishi.

4. Jina la mjumbe/mwenyekiti wa mtaa...

5. Hata muhuri wa kuchonga kariakoo tu au sahihi yakughushi imewashinda?

6. Kingine mtoto amezaliwa tar 3/12/2016 Polio tar 16/01/2017, sindano nyingine 19/01/2017. Tarehe zote alizohudhuria alimkuta daktari/muuguzi yule yule ambaye katika kadi hii hajatajwa kwa jina, ikatumika kalamu ile ile.

7. Kitabibu Mtoto aliyezaliwa tarehe 3 hawezi kuja kupata chanjo ya BCG tarehe 16. Lakini kabla hajapata OPV 0, kaja kupata OPV 1. Hilo halipo hivyo kitabibu

Mkitaka kuwa waongo msisahau vitu vidogovidogo hivi::::::::::::::::::

Niliwahi kutoa afa kwa vijana wa ccm kwamba mataputapu yenu mitandaoni muwe mnaniletea nahariri ndio nawaruhusu mlete mitandanoni

Na Yericko Nyerere


Source: Yerico Nyerere Facebook Page

.
a80aee1c729ccd2de071e340762e0f74.jpg
Exactly. Wamefeli kuanzia darasani mpaka mtaani
 
Kijijini nesi,mkunga na mtoa dawa ni mmoja tu.
Toeni hadharani vyeti vya makonda ili nae awa prove wrong kama mnavyojaribu kutetea uzinzi.
Mahita aliumbuka kwa mambo kama haya
Kijiji kipi maana kadi haina jina la mahali
 
Mashiti mashati mashite matakataka yaende yakaoge. Vyeti vyeti vyeti vyeti
Vyeti vyeti vyeti vyeti
Vyeti vyeti vyeti vyeti
Vyeti vyeti vyeti vyeti
Vyeti vyeti vyeti vyeti
ujingaujinga wa kuiba vyeti hatuupendi.
 
Soma upya maandiko ya Yeriko, usikurupuke. Aliyemtaja kufunika uso ni mwandishi anaemhoji binti, sio binti mwenyewe. Pitia post uliyomnukuu Yeriko hapo juu!
Yericko Akili kubwa hawezi kutoka fafanuzi ya kibashite, kasema MTU ALIE MUHOJI NDIO KAFUNIKA SURA.
 
Akamwambie Bashite alete vyeti kwanza hio tbc/uhuru redio cha chama inatumia nguvu nyingi sana kutetea mtu aliyepata zero

Tafadhali rekebisha:

Usiseme mtu ALIYEPATA ZERO SEMA MTU ALIYETAPELI CCM NA SERIKALI
 
CCM inafanya mambo ya kitoto..., wanamuanza wenyewe Gwajima akijibu wanasema asemehe.... Uhuru fm ni kituo cha chama inajulikana ilo angalau hata angeenda E-FM ningemuelewa kidogo.

Wewe umeona hilo CCM bado .......
 
Kwani huyo binti si ana zaidi ya miaka 18, kuna sheria inayokataza mtu kuzaa nje ya ndoa? Hilo sio kosa la jinai kama hakumbaka.
Kutumia vyeti na jina la mtu mwingine hilo ni kosa la jinai.
Dawa sio kuhangaika na gwajima ni kwa bashite kuleta vyeti to prove ukweli halisi.

USHAURI WANGU KWA MAKONDA NA HAO WACHUNGAJI NA MASHEHE WANAOMWONBEA KILA SIKU WAMESAHAU SALA HII KUBWA KULIKO ZOTE

wambieni bashite " SEMA UKWELI NA UKWELI UTAKUWEKA HURU" amina
 
Ngoja tuone kama atakuja kuandaa "misa " ya kumjibu na huyo mama.
maana huwa anatuambia yeye kama baba wa familia akishambuliwa
ni lazima ajibu mapigo. Hivyo tunasubilia majibu yake ya shombo yatavyokuwa, maana
jamaa kwa kumwaga povu hajambo , utafikili aliwahi kuwa TEAM shilawadu.


Ameshatoa taarifa Gwajima atawajibu clouds media waliomrekodi huyo dada kuanzia saa nne asubuhi leo na atapatikana live youtube
 
Mlianzisha la vyeti...likaback-fire nilidhani mmejifunza.....sasa tena ni issue ya uzinzi....polepole jamani mnazidi kuharibu.....turudi kwa issues za kuendeleza nchi sio kupambana na personalities. Nchi ya viwanda mikakati iko wapi?
30fb26476a79cee73fc1914d9bbaa27f.jpg
mkatengeneze kadi nyingine,viazi nyie.
 
Back
Top Bottom