Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Kwa hiyo mtoa mada...
Mlianzisha la vyeti...likaback-fire nilidhani mmejifunza.....sasa tena ni issue ya uzinzi....polepole jamani mnazidi kuharibu.....turudi kwa issues za kuendeleza nchi sio kupambana na personalities. Nchi ya viwanda mikakati iko wapi?
 
Kuna kila dalili ya baba mchungaji kuwataka wanashilawadu wakiongozwa na sudi brown kuwasilisha vyeti vyao vya kidato cha nne na vyeti vyao vya taaluma ya kishilawadu......stay tuned and dont touch the dial ....kujua yatakayojiri kanisani leo
 
Hiyo kadi(RCH 1) haiweki uhalali kwamba mtoto ni wa Gwajima. Mimi mwenyewe ninazo hizo kadi kama tano hizi mpyaa kabisa naweza kujifungia ndani nikaandika chochote
 
vyeti on air gwajima atawanyoosha sana mwaka huu
 
Exactly. Wamefeli kuanzia darasani mpaka mtaani
 
Kijijini nesi,mkunga na mtoa dawa ni mmoja tu.
Toeni hadharani vyeti vya makonda ili nae awa prove wrong kama mnavyojaribu kutetea uzinzi.
Mahita aliumbuka kwa mambo kama haya
Kijiji kipi maana kadi haina jina la mahali
 
Mashiti mashati mashite matakataka yaende yakaoge. Vyeti vyeti vyeti vyeti
Vyeti vyeti vyeti vyeti
Vyeti vyeti vyeti vyeti
Vyeti vyeti vyeti vyeti
Vyeti vyeti vyeti vyeti
ujingaujinga wa kuiba vyeti hatuupendi.
 
Soma upya maandiko ya Yeriko, usikurupuke. Aliyemtaja kufunika uso ni mwandishi anaemhoji binti, sio binti mwenyewe. Pitia post uliyomnukuu Yeriko hapo juu!
Yericko Akili kubwa hawezi kutoka fafanuzi ya kibashite, kasema MTU ALIE MUHOJI NDIO KAFUNIKA SURA.
 
Baba alijitahidi asifanye makosa alikuwa anaita Makonda, sasa unajiuliza baba si ndiyo angeita Paul au Daudi-David?


Umeona eeh ukweli utamweka MTU guru ukweli hauna ukakasiii....maagizo fahari na Sanaa hujibainika tu.
 
Akamwambie Bashite alete vyeti kwanza hio tbc/uhuru redio cha chama inatumia nguvu nyingi sana kutetea mtu aliyepata zero

Tafadhali rekebisha:

Usiseme mtu ALIYEPATA ZERO SEMA MTU ALIYETAPELI CCM NA SERIKALI
 
CCM inafanya mambo ya kitoto..., wanamuanza wenyewe Gwajima akijibu wanasema asemehe.... Uhuru fm ni kituo cha chama inajulikana ilo angalau hata angeenda E-FM ningemuelewa kidogo.

Wewe umeona hilo CCM bado .......
 
Kwani huyo binti si ana zaidi ya miaka 18, kuna sheria inayokataza mtu kuzaa nje ya ndoa? Hilo sio kosa la jinai kama hakumbaka.
Kutumia vyeti na jina la mtu mwingine hilo ni kosa la jinai.
Dawa sio kuhangaika na gwajima ni kwa bashite kuleta vyeti to prove ukweli halisi.

USHAURI WANGU KWA MAKONDA NA HAO WACHUNGAJI NA MASHEHE WANAOMWONBEA KILA SIKU WAMESAHAU SALA HII KUBWA KULIKO ZOTE

wambieni bashite " SEMA UKWELI NA UKWELI UTAKUWEKA HURU" amina
 


Ameshatoa taarifa Gwajima atawajibu clouds media waliomrekodi huyo dada kuanzia saa nne asubuhi leo na atapatikana live youtube
 
Mlianzisha la vyeti...likaback-fire nilidhani mmejifunza.....sasa tena ni issue ya uzinzi....polepole jamani mnazidi kuharibu.....turudi kwa issues za kuendeleza nchi sio kupambana na personalities. Nchi ya viwanda mikakati iko wapi?
mkatengeneze kadi nyingine,viazi nyie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…