Crocozilla
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 469
- 335
Ameshamaliza kila kitu ibada ya leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakina sudy ameqapiga na kuhlharibu ofisini kwao sasa ukweli unajileta wenyeweGwajima alisema akichokozwa tena wiki hii atafumuka upya hapendi ujinga
Ila kumpa mimba sio kosa la jinai kufoji vyeti ni kosa la jinai ......
Daudi leta vyeti hatujasahau hivyoo
Sasa unanufaika nini kutetea maovu yake.Waterloo baba, hanitumi na hanifahamu naona hautaki kukubali so endelea kufikiria hivyo.
Makonda oyeeeeeee
Hopeless kabisa! Kuna kosa kubwa kama kumtelkekeza mtoto! Hopeless kabisa na wote wanaounga mkono. Hamna utu kabisa wala kumuonea huruma huyo mtoto kisa ni makonda! Hii chuki sio bure hata kosa la Gwajiba mnaona kla kawaida shame on you!Gwajima alisema akichokozwa tena wiki hii atafumuka upya hapendi ujinga
Ila kumpa mimba sio kosa la jinai kufoji vyeti ni kosa la jinai ......
Daudi leta vyeti hatujasahau hivyoo
Chunguza hiyo hapo chini useme,je miandiko inafanana?
Chunguza hiyo hapo chini useme,je miandiko inafanana?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] uko kama mmNime concentrate kwenye herufi "m" na "n' na hakika handwriting kwenye documents hizo mbili zinafanana.
Hahahaaaa mkuu unatishaa!Nime concentrate kwenye herufi "m" na "n' na hakika handwriting kwenye documents hizo mbili zinafanana.
Chunguza hiyo hapo chini useme,je miandiko inafanana?
Unatuondoa kwenye reli!!! Umetumwa na Daudi,kwani kumzalisha mtu ni kosa??KUNA DADA AITWAE MAMA MAX YUPO KATIKA REDIO UHURU AKITOA USHUHUDA WA KUTIWA UJAUZITO NA KUZALISHWA NA ASKOFU MAARUFU KWA KUDANDIA NA KUROPOKA HOVYO , SASA NA HILI NALO ALIVALIE NJUDA HUKO KANISANI, TAPELI BIN FUSKA MKUBWA
Wajugha sebhoMbona hii sura ya huyu mwanamke ni ya kitapeli na inajisuta yenyewe!!