Mwanamama Wema Sepetu,augua ghafla,alazwa ni baada ya kusikia ni lazima Magufuli awe m/kiti

Mwanamama Wema Sepetu,augua ghafla,alazwa ni baada ya kusikia ni lazima Magufuli awe m/kiti

Vidole Vyote Pete Khaa! Huo Weupe Mishipa Imemsimama Kama Yupo Juani ?
Anapata Pressure Ya Nini Hamuoni Mpendazoe Na Mgana Wamekuwa Ng'ombe Waliokatika Mkia Zizini Watajulikana Tu

Haa!
 
huyu ndio yule mchezaji mpya wa Simba kutoka Congo au huyu ni yupi?!
 
13740991_150245318733699_1649896424_n.jpg

Mwanamama na kada maarufu wa chama cha mapinduzi amepatwa na mshituko mkubwa baada ya kusikia mwenyekiti wa chama lazima awe Magufuli, mtu wa karibu wa mwanamama huyo anadai kada huyo wa siku nyingi alitamani sana mzee JK kipenzi cha watu aendelee kuwa mwenyekiti.
Watanzania wenzangu tunaombwa tumuweke Wema katika maombi yetu ya kila siku ili aweze kupona na kurudia hali yake ya kawaida
mwanamama?kazaa lini?
 
Mbona kama kumekaa kiutafutaji kiki vile unless kweli anaumwa kitu kingine kabisa
 
13740991_150245318733699_1649896424_n.jpg

Mwanamama na kada maarufu wa chama cha mapinduzi amepatwa na mshituko mkubwa baada ya kusikia mwenyekiti wa chama lazima awe Magufuli, mtu wa karibu wa mwanamama huyo anadai kada huyo wa siku nyingi alitamani sana mzee JK kipenzi cha watu aendelee kuwa mwenyekiti.
Watanzania wenzangu tunaombwa tumuweke Wema katika maombi yetu ya kila siku ili aweze kupona na kurudia hali yake ya kawaida
Ina mana tusipomwombea hatopona au?
 
Vidole Vyote Pete Khaa! Huo Weupe Mishipa Imemsimama Kama Yupo Juani ?
Anapata Pressure Ya Nini Hamuoni Mpendazoe Na Mgana Wamekuwa Ng'ombe Waliokatika Mkia Zizini Watajulikana Tu

Haa!
Wenzake wanavaa kwenye kidole kimoja yeye duhh,af kama mkono wa kulia vilee
 
Sio kweli. Anafahamu kuwa Rais ndiye anastahili kuwa M/kitu wa chama. Anatatizo lingine tu. Inathaniwa bibie u mjamzito.
 
Katika vidole kumi vya mikononi sita vyote vimejaa pete duhh kweli huyu ni mwanamama[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
An
13740991_150245318733699_1649896424_n.jpg

Mwanamama na kada maarufu wa chama cha mapinduzi amepatwa na mshituko mkubwa baada ya kusikia mwenyekiti wa chama lazima awe Magufuli, mtu wa karibu wa mwanamama huyo anadai kada huyo wa siku nyingi alitamani sana mzee JK kipenzi cha watu aendelee kuwa mwenyekiti.
Watanzania wenzangu tunaombwa tumuweke Wema katika maombi yetu ya kila siku ili aweze kupona na kurudia hali yake ya kawaida
Mawazo ya kuachwa
 
Back
Top Bottom