Mwaname wa kiafrika hasifiwi hadharani wala halelewi

🀣🀣🀣
 
β°πŸ˜„ 🀣 πŸ˜‚ πŸ˜† πŸ˜„
Sema ukiangalia kwa jicho la tatu dada amshukuru Mungu tu na aendelee na maisha alee wanae
Jamaa in the long run ni mediocre imagine kama umeandikiwa miaka 70 kwa umri wa dada ana zaidi ya 30 mbele ni ngumu.

Mwanamke kuwa na mwanaume mwenye akili ndogo ni kazi zana, nimewahi date mmoja enzi za ujana yalinishinda
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nadhani alitaka kuprove kwamba pamoja na watoto wawili, mixer kashfa kwamba yupo kwenye grid ya taifa (allegedly) na mapungufu mengine mengi, kapata mtu wa kumpenda haswaaaa na kupenda watoto wake aliokua nao kabla
Wangeweza kupendana kimya kimya maonyesho siku zote hayafai. Sema maisha ni yake tunamuachia mwenyewe nasi tupambane na yetu.
 
Unapodate na mwanaume akili kisoda hana exposure ni kipengele sana. Bora ulitema bungo mapema
 
Ko maisha ya muhuni yalikuwa zaidi ya al catraz😁🀣
 
Me Kwa mtazamo wangu Uwe na furaha Uwe na huzuni keep it private hata kama ni socialite keep it low keep it private unless otherwise Uwe kama Harmo na Diamond wao kwao hiyo ni kiki.....ni sehemu ya kazi kuandika mahusiano ila naamini ukiwauliza hasara ni nyingi kuliko faida .......Ati unatundika Bango. Mahala Wacha Dunia ijue nakupenda.....wakishajua itasaidia nn faida ndo hiyo....mkiachana they will say Kiko wapi
 
Yani alichokosea bi Dada ni kuwaonesha walimwengu furaha yake. Ila kupenda jamani.........πŸ‘πŸ‘ yani kunawakati unatamani ilo penzi uli copy, uli-paste, uli-edit unavyoona itanoga πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… uprint, utoe copy, ukabandike kwenye nguzo za umeme. Yani ukikaa kwenye daladala unatamani umsimulie jirani yako .

mxuuuuu, vinadumu basi 😎😎 kinachofuata *kikubwa uhai, aliachana Mandela na mkewe πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…