π€£π€£π€£Kmmmk hela ya ulisi wa mwanamke yamoto sana π....Hapo unasimangwa na I made you kama zote. Mixa simu kukaguliwa 24/7 yani mke na afisa upelelezi tofauti yao ni sare za kazi tu. Kosa kidogo tu, we unipendi upo kwa ajili ya hela zangu tu πππ
Kwa kifupi nyani katema bungo tayari!!!
haya nipendeHaina shida ntakupenda tu hivohivo... Bila matangazo.
β°π π€£ π π πKmmmk hela ya ulisi wa mwanamke yamoto sana π....Hapo unasimangwa na I made you kama zote. Mixa simu kukaguliwa 24/7 yani mke na afisa upelelezi tofauti yao ni sare za kazi tu. Kosa kidogo tu, we unipendi upo kwa ajili ya hela zangu tu πππ
Kwa kifupi nyani katema bungo tayari!!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kmmmk hela ya ulisi wa mwanamke yamoto sana [emoji23]....Hapo unasimangwa na I made you kama zote. Mixa simu kukaguliwa 24/7 yani mke na afisa upelelezi tofauti yao ni sare za kazi tu. Kosa kidogo tu, we unipendi upo kwa ajili ya hela zangu tu [emoji16][emoji16][emoji16]
Kwa kifupi nyani katema bungo tayari!!!
Pole kwa dada.... yeye ndo alikua na speed sana kuutangazia ulimwenguBalaa la mapenzi ya kuchoreshana huonekana kipindi mkiachana. Kama ni kweli wamepigana chini pole yao.
Alikua anatufanya wadada wengine tuone kama wanaume zetu si wanaume halisi lolPole kwa dada.... yeye ndo alikua na speed sana kuutangazia ulimwengu
Nadhani alitaka kuprove kwamba pamoja na watoto wawili, mixer kashfa kwamba yupo kwenye grid ya taifa (allegedly) na mapungufu mengine mengi, kapata mtu wa kumpenda haswaaaa na kupenda watoto wake aliokua nao kablaAlikua anatufanya wadada wengine tuone kama wanaume zetu si wanaume halisi lol
Wangeweza kupendana kimya kimya maonyesho siku zote hayafai. Sema maisha ni yake tunamuachia mwenyewe nasi tupambane na yetu.Nadhani alitaka kuprove kwamba pamoja na watoto wawili, mixer kashfa kwamba yupo kwenye grid ya taifa (allegedly) na mapungufu mengine mengi, kapata mtu wa kumpenda haswaaaa na kupenda watoto wake aliokua nao kabla
Unapodate na mwanaume akili kisoda hana exposure ni kipengele sana. Bora ulitema bungo mapemaβ°π π€£ π π π
Sema ukiangalia kwa jicho la tatu dada amshukuru Mungu tu na aendelee na maisha alee wanae
Jamaa in the long run ni mediocre imagine kama umeandikiwa miaka 70 kwa umri wa dada ana zaidi ya 30 mbele ni ngumu.
Mwanamke kuwa na mwanaume mwenye akili ndogo ni kazi zana, nimewahi date mmoja enzi za ujana yalinishinda
Ko maisha ya muhuni yalikuwa zaidi ya al catrazππ€£Kmmmk hela ya ulisi wa mwanamke yamoto sana π....Hapo unasimangwa na I made you kama zote. Mixa simu kukaguliwa 24/7 yani mke na afisa upelelezi tofauti yao ni sare za kazi tu. Kosa kidogo tu, we unipendi upo kwa ajili ya hela zangu tu πππ
Kwa kifupi nyani katema bungo tayari!!!
Kwani Mkuu Mzee baba ana Ulisi au hulisi?sjui kama sio zamaradi na mumewe mwenye kiswahili cha hovyo kuwahi kutokea nchini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee!!Unapodate na mwanaume akili kisoda hana exposure ni kipengele sana. Bora ulitema bungo mapema
Haya ndio hasa maneno yao hawa wapuuzi.Kosa kidogo tu, we unipendi upo kwa ajili ya hela zangu tu
hulisi hahahahhaaKwani Mkuu Mzee baba ana Ulisi au hulisi?