Mwaname wa kiafrika hasifiwi hadharani wala halelewi

Mwaname wa kiafrika hasifiwi hadharani wala halelewi

Me Kwa mtazamo wangu Uwe na furaha Uwe na huzuni keep it private hata kama ni socialite keep it low keep it private unless otherwise Uwe kama Harmo na Diamond wao kwao hiyo ni kiki.....ni sehemu ya kazi kuandika mahusiano ila naamini ukiwauliza hasara ni nyingi kuliko faida .......Ati unatundika Bango. Mahala Wacha Dunia ijue nakupenda.....wakishajua itasaidia nn faida ndo hiyo....mkiachana they will say Kiko wapi
Mara nyingi ukiona mwanamke anajaribu sana kuonesha anapendwa jua kuna udhaifu unafichwa.

Raha ya penzi mwanaume ndo apaparike kujivunia wewe kama mke wake halafu wewe uwe unajibu mapigo
 
😆 😂 😆 😂 😆 😂
Umenikumbusha mapenzi ya ujanani ya kishuleshule... huwa ni matamu sana, mnalelewa na wazazi so kitu pekee akili inawaza ni mapenzi.
Ukiletewa hata jojo roho inasuuzika
Yani alichokosea bi Dada ni kuwaonesha walimwengu furaha yake. Ila kupenda jamani.........👐👐 yani kunawakati unatamani ilo penzi uli copy, uli-paste, uli-edit unavyoona itanoga 😅😅😅 uprint, utoe copy, ukabandike kwenye nguzo za umeme. Yani ukikaa kwenye daladala unatamani umsimulie jirani yako .

mxuuuuu, vinadumu basi 😎😎 kinachofuata *kikubwa uhai, aliachana Mandela na mkewe 😀😀😀
😆
 
Rumor has it mzee wa hulisi kamtwanga dada wa bango la valentine talaka moja na mke wa pili juu......

Tatizo sio kuachika, tatizo ni kujishaua sana my husband this my husband that, vikiumana lazima utamani ulimwengu ukulele

Wanawake mnaowazidi vipato waume zenu kaeni kwa kutulia na muendelee na life lenu kimya kimya, maana ni swala la muda tu kabla hujapigwa na shambulio la aibu, sasa ni bora likukute wakati uko private, ukiwa na mashauzi stress za naonekanaje zinauma kuliko tukio lenyewe.

In the end mwanaume halelewi, dada kama umejipata tayari basi tafuta aliyejipata kama wewe au zaidi, mambo ya building together achia watoto wa chuo huko ambao hawajui what the future holds sababu milango ya pesa inaweza funguka kwa yeyote kati yao bila kujali jinsia
Huna akili
 
Huna akili wewe na kizazi chako..... mapepo yanakusumbua mpaka unashindwa kulala busy alfajiri mitandaoni.



Heal sis heal....
Tafuta kazi we mtoto 😆 una kazi ya kufuatilia umbea na maisha ya mastaa!

Jitazame sana mtoto wako anakutegemea bibie
 
Unapodate na mwanaume akili kisoda hana exposure ni kipengele sana. Bora ulitema bungo mapema
Ni shida sana, nilikuwa naye mume wa ndoa wa hivyo, nikakimbia mapema. Ni mzigo sana, hata mchepuko wake alitema bungo baada ya mimi kuachana naye.
 
In the end mwanaume halelewi, dada kama umejipata tayari basi tafuta aliyejipata kama wewe au zaidi, mambo ya building together achia watoto wa chuo huko ambao hawajui what the future holds sababu milango ya pesa inaweza funguka kwa yeyote kati yao bila kujali jinsia
Ndo uwe pisi kali sasa, kama we mwenyewe ndio sura ya baba, shape hata haileweki hips zikowapi, tako na kiuno vimetengania wapi hapo utaishia kuonga. Huyo mwanaume aliejipata kuliko kudate na wewe bora akadate na izo izo pisi zenye njaa
 
Back
Top Bottom