Mara nyingi ukiona mwanamke anajaribu sana kuonesha anapendwa jua kuna udhaifu unafichwa.Me Kwa mtazamo wangu Uwe na furaha Uwe na huzuni keep it private hata kama ni socialite keep it low keep it private unless otherwise Uwe kama Harmo na Diamond wao kwao hiyo ni kiki.....ni sehemu ya kazi kuandika mahusiano ila naamini ukiwauliza hasara ni nyingi kuliko faida .......Ati unatundika Bango. Mahala Wacha Dunia ijue nakupenda.....wakishajua itasaidia nn faida ndo hiyo....mkiachana they will say Kiko wapi
πYani alichokosea bi Dada ni kuwaonesha walimwengu furaha yake. Ila kupenda jamani.........ππ yani kunawakati unatamani ilo penzi uli copy, uli-paste, uli-edit unavyoona itanoga π π π uprint, utoe copy, ukabandike kwenye nguzo za umeme. Yani ukikaa kwenye daladala unatamani umsimulie jirani yako .
mxuuuuu, vinadumu basi ππ kinachofuata *kikubwa uhai, aliachana Mandela na mkewe πππ
Huna akiliRumor has it mzee wa hulisi kamtwanga dada wa bango la valentine talaka moja na mke wa pili juu......
Tatizo sio kuachika, tatizo ni kujishaua sana my husband this my husband that, vikiumana lazima utamani ulimwengu ukulele
Wanawake mnaowazidi vipato waume zenu kaeni kwa kutulia na muendelee na life lenu kimya kimya, maana ni swala la muda tu kabla hujapigwa na shambulio la aibu, sasa ni bora likukute wakati uko private, ukiwa na mashauzi stress za naonekanaje zinauma kuliko tukio lenyewe.
In the end mwanaume halelewi, dada kama umejipata tayari basi tafuta aliyejipata kama wewe au zaidi, mambo ya building together achia watoto wa chuo huko ambao hawajui what the future holds sababu milango ya pesa inaweza funguka kwa yeyote kati yao bila kujali jinsia
Huna akili wewe na kizazi chako..... mapepo yanakusumbua mpaka unashindwa kulala busy alfajiri mitandaoni.Huna akili
Tafuta kazi we mtoto π una kazi ya kufuatilia umbea na maisha ya mastaa!Huna akili wewe na kizazi chako..... mapepo yanakusumbua mpaka unashindwa kulala busy alfajiri mitandaoni.
Heal sis heal....
Ni shida sana, nilikuwa naye mume wa ndoa wa hivyo, nikakimbia mapema. Ni mzigo sana, hata mchepuko wake alitema bungo baada ya mimi kuachana naye.Unapodate na mwanaume akili kisoda hana exposure ni kipengele sana. Bora ulitema bungo mapema
Ndo uwe pisi kali sasa, kama we mwenyewe ndio sura ya baba, shape hata haileweki hips zikowapi, tako na kiuno vimetengania wapi hapo utaishia kuonga. Huyo mwanaume aliejipata kuliko kudate na wewe bora akadate na izo izo pisi zenye njaaIn the end mwanaume halelewi, dada kama umejipata tayari basi tafuta aliyejipata kama wewe au zaidi, mambo ya building together achia watoto wa chuo huko ambao hawajui what the future holds sababu milango ya pesa inaweza funguka kwa yeyote kati yao bila kujali jinsia