Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Huku kwetu mtoto mwenye umbo kama hilo angekuwa na umri wa miaka 6 au 7!! Mtoto wa miaka 3 anaendesha mpaka baiskeli!! Dah! Kweli Watoto wetu wamedumaa aisee!The Duke and Duchess of Cambridge have released a new picture of Prince Louis to celebrate his third birthday and mark his first day at nursery school.
The photograph was taken at Kensington Palace by the duchess, shortly before Louis set off for Willcocks Nursery School for the first time on Wednesday.
Smartly dressed in shorts, a shirt and a jumper, he sits on a red Frog bicycle with a rucksack on his back.
Prince William and Catherine were said to be "delighted" to share the update.
View attachment 1761300
Usemacho ni sahihi, sijui tufanyaje kudhibiti hilo tatizo la udumavu wa mwili. Ingawa kwenye akili wanakuwa wako sawa au wakwetu wanaweza kuzidi💪Huku kwetu mtoto mwenye umbo kama hilo angekuwa na umri wa miaka 6 au 7!! Mtoto wa miaka 3 anaendesha mpaka baiskeli!! Dah! Kweli Watoto wetu wamedumaa aisee!
Tangu Magufuli afatiki naona umeanza tena kuwashobokea mabeberuThe Duke and Duchess of Cambridge have released a new picture of Prince Louis to celebrate his third birthday and mark his first day at nursery school.
The photograph was taken at Kensington Palace by the duchess, shortly before Louis set off for Willcocks Nursery School for the first time on Wednesday.
Smartly dressed in shorts, a shirt and a jumper, he sits on a red Frog bicycle with a rucksack on his back.
Prince William and Catherine were said to be "delighted" to share the update.
View attachment 1761300
Ila habari nyingine hazina umuhimu wowote.Punguza stress mzee.
Umatuambia ndio nini sasa
watoto wa masaki mbona wako kama huyo tu katika umri huo huoHuku kwetu mtoto mwenye umbo kama hilo angekuwa na umri wa miaka 6 au 7!! Mtoto wa miaka 3 anaendesha mpaka baiskeli!! Dah! Kweli Watoto wetu wamedumaa aisee!
Huyu mtoto baba yake ni mrefu na mama yake ni mrefu. Sasa baba awe pipilo na mama pipilo unataka muwe na watoto wenye maumbo makubwaHuku kwetu mtoto mwenye umbo kama hilo angekuwa na umri wa miaka 6 au 7!! Mtoto wa miaka 3 anaendesha mpaka baiskeli!! Dah! Kweli Watoto wetu wamedumaa aisee!
What is the use of this!!!?The Duke and Duchess of Cambridge have released a new picture of Prince Louis to celebrate his third birthday and mark his first day at nursery school.
The photograph was taken at Kensington Palace by the duchess, shortly before Louis set off for Willcocks Nursery School for the first time on Wednesday.
Smartly dressed in shorts, a shirt and a jumper, he sits on a red Frog bicycle with a rucksack on his back.
Prince William and Catherine were said to be "delighted" to share the update.
View attachment 1761300
Babe upo?, umebadilisha avatar si nikakusahau😛Huku kwetu mtoto mwenye umbo kama hilo angekuwa na umri wa miaka 6 au 7!! Mtoto wa miaka 3 anaendesha mpaka baiskeli!! Dah! Kweli Watoto wetu wamedumaa aisee!
Nipo My pisi kali baby!! Nimeona nitumie avatar yangu halisi my dear! Ile niliona kuna jamaa aliyefufuka kutoka kusiko julikana technically, na yeye anaitumia.Babe upo?, umebadilisha avatar si nikakusahau😛
Ndio hivyo,lishe nayo inachangia,ila tukikuwa wenyewe tunajirekebisha na vi chips mayai,vinasaidia mpaka tunarudi kwenye mstari...Usemacho ni sahihi, sijui tufanyaje kudhibiti hilo tatizo la udumavu wa mwili. Ingawa kwenye akili wanakuwa wako sawa au wakwetu wanaweza kuzidi💪
Why atumie avatar ya babe wangu jamani, maavatar yalivojazana hivo why why Technically 🤪 ila hata hii ni nzuri ntaizoea tu babe. Umesema ni halisi? Yaani huyo ndiye babe Tate?Nipo My pisi kali baby!! Nimeona nitumie avatar yangu halisi my dear! Ile niliona kuna jamaa aliyefufuka kutoka kusiko julikana technically, na yeye anaitumia.
Hivyo nikaona italeta mkanganyiko!! Pole kwa usumbufu.
Bado wanakuwa wamedumaa akili pia ni wachache wanaokaa mazingira ya kuchangamka ndo wanachangamkaUsemacho ni sahihi, sijui tufanyaje kudhibiti hilo tatizo la udumavu wa mwili. Ingawa kwenye akili wanakuwa wako sawa au wakwetu wanaweza kuzidi[emoji123]
Huyo ndiye Tate Mkuu mwenyewe baby!! 🥵 Inawezekana technically alikuwa akiitumia kwa muda mrefu kabla yangu! Sema tu aliadimika humu jukwaani kwa muda fulani.Why atumie avatar ya babe wangu jamani, maavatar yalivojazana hivo why why Technically 🤪 ila hata hii ni nzuri ntaizoea tu babe. Umesema ni halisi? Yaani huyo ndiye babe Tate?
Sawa babe hizo picha za kilabuni ndiyo zenyewe hizo nikuone ukilewa unakuaje😀😀Huyo ndiye Tate Mkuu mwenyewe baby!! 🥵 Inawezekana technically alikuwa akiitumia kwa muda mrefu kabla yangu! Sema tu aliadimika humu jukwaani kwa muda fulani.
Picha zangu nyingine nikiwa kilabuni nikinywa mnazi na boha, shambani nikilima ngogwe, nk. Nitakutumia PM Baby! Just wait for me, ok!!!
MambilikimoHuku kwetu mtoto mwenye umbo kama hilo angekuwa na umri wa miaka 6 au 7!! Mtoto wa miaka 3 anaendesha mpaka baiskeli!! Dah! Kweli Watoto wetu wamedumaa aisee!
Acha uongo ww sidhani hata mwanao kwa umri uo anaweza hata kutembea vizur lazima ana mwendo wa kilevi miaka3 bongo mtoto mdg sanaHuku kwetu watoto kibao tu umri huo wameanza shule na hujawaandikia uzi, siyo vizuri hizo double standards, au kwa sababu ni prince nini, hata wanetu ni maprince and princess kwenye familia zetu[emoji57][emoji57]