Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mmoja kati yao ni gold digger
Hujaijua zaidi tamaa ya mwanadamuSi kweli alikuwa ni mcheza tamthiliya, hivyo ana kiasi fulani kwenye bank accounts.
Kumbuka huyu familia yake haikuwa hohehahe, angalau ilikuwa ikijiweza.
Baba yake Meghan alikuwa ni mkurugenzi wa kutengeneza filamu.
Naona Harry anaweka History nyingine ya kuoa commoner lakini Meghan ni to the core.
Manake ni Mmarekani, divorcee halafu ana damu nyeusi.
Royal family wamapatikana haswaa! [emoji3]
Hujaijua zaidi tamaa ya mwanadamu
Kwa kila ngazi ya maisha uliyonayo jua kwamba bado wapo waliojuu yako kwahiyo u gold digger hauwezi kuepukwa kama wawili hao ngazi zao kimaisha bado ni tofauti
Sababu kubwa ni kwamba Haary anafanya shughuli za marehemu mama yake zile za utunzaji mazingira na kusaidia mifuko ya kulea watu waso na uwezo khasa katika nchi za Afrika.
Vekesheni nyingi anazofanya Meghan huwa ni Afrika na Harry anapenda sana kuja Afrika ukizingatia yeye ni mlezi wa mifuko ya misaada kule Lesotho.
Kuna hoteli kambi moja kali sana pale Botswana yaitwa Meno a Kwena, ambayo usiku mmoja inagharimu kama dola 867 hivi au fedha za madafu kama 1.9m hivi.
Ndio walipokutana right?
Ndo kukapelekea rumors kuwa Meghan ilidhaniwa ni Mwafrica..
Halafu naona Queen ame pass hii bila shida. Tena kama vile kapiga dongo kwa waliotaka kuifanya hii kitu issue baada ya some media za Uingereza kuanza ku question Nationality na Status ya Meghan..
.. “the Queen says she is ‘delighted’ the divorced American actress is to join the royal family.”
Hapana wamekutana kupitia mutual friend ambae ndiye aliefanya set up yote.
Harry only went for the kill.
Unaposema "tena machotara" unamaanisha una chuki sana na sisi watu weusi? Kama kweli wewe ni wa Mchambawima nahisi utakuwa mwarabu fulani.Sio wazungu tu; hata mimi wa Mchambawima sijaipenda kabisa ndio maana nikauliza amekosa kabisa demu "bora" wa Kiingereza hadi akaokote masanii ya kimarekani tena machotara?
Unaambiwa lilia Bahati sio uzuri...Naona Harry anaweka History nyingine ya kuoa commoner lakini Meghan ni to the core.
Manake ni Mmarekani, divorcee halafu ana damu nyeusi.
Royal family wamepatikana haswaa! [emoji3]
Kwa hivyo mwana mfalme ni vibaya kuoa machotara meusi?Sio wazungu tu; hata mimi wa Mchambawima sijaipenda kabisa ndio maana nikauliza amekosa kabisa demu "bora" wa Kiingereza hadi akaokote masanii ya kimarekani tena machotara?
Mkuu hujui hata yule mzee wao alionekana analiwa mate na kijana mdogo? Hiyo laana ya Ki-David Cameron imeanza ndani ya kasri la Ufalme wao.Wazungu koko wanafiki sana.
Wanataka huko Africa wafanyane kwa style ya Obama na David Cameron ila watoto wao wanawaozesha Adam na Hawa!!
Wazungu koko ni very pathetic creatures.
Mzee analiwa mate kama mchumba tu hapo tusiseme ya sirini huenda anatatuliwa linda mubashara.Mkuu hujui hata yule mzee wao alionekana analiwa mate na kijana mdogo? Hiyo laana ya Ki-David Cameron imeanza ndani ya kasri la Ufalme wao.
![]()
Majesty ni mnafiki wala hajafurahi kuona mjukuu Harry anamuoa huyo black afuu commoner basi tuu afanyeje kaishajizeekea na ana skendo ya kumuua Diana....huyo Meghan kama mbele mbele hajapewa sumu sijui!
Aaaaaahhh,Mkuu hujui hata yule mzee wao alionekana analiwa mate na kijana mdogo? Hiyo laana ya Ki-David Cameron imeanza ndani ya kasri la Ufalme wao.
![]()
Unaambiwa lilia Bahati sio uzuri...
Sipati picha wale mawifi vimbelembele kina Beatrice na Eugenia watakavyomletea shobo Meghan!
Majesty ni mnafiki wala hajafurahi kuona mjukuu Harry anamuoa huyo black afuu commoner basi tuu afanyeje kaishajizeekea na ana skendo ya kumuua Diana....huyo Meghan kama mbele mbele hajapewa sumu sijui!