Mwanamfalme wa Uingereza Harry kufunga ndoa na muigizaji wa Marekani Meghan Markle

Mwanamfalme wa Uingereza Harry kufunga ndoa na muigizaji wa Marekani Meghan Markle

Sio hilo mi kilichonikosha zaid ni kwamba bibi harusi alishaolewa na kuachika. Mi hapoooo tuuu. Sijui atakua na watoto!!! Na Harry anahitaji strong woman Wa kuweza kumcontrol maaan ni mzeee Wa bata mnooo. Anaitendea haki 3Ws. War, wine and women, only strong and Mature woman can Handle him.
Harry anapenda bata mnoo, na kupiga chini mademu kama hana akili nzuri vile! Kweli Meghan ana zali la mentali

Ila mkuu kama namuona Meghan haamini kilichotokea ( to be engaged) yaan full kujistukia halafu ni anaonekana anamuogopa mnoo Harry!
 
Haha aseeh! [emoji3]

Prince Harry anaonekana ana U bad boy fulani hivi.
Nakumbuka alivyosimamia harusi ya kaka yake, ukiachana na vazi lake maalum lakini nywele zilionekana kama vile hazikuwa hata shampooed.
huyu kibaka atakuwa malkia alichepuka na wasira au raila si kwa ukora huo
Mkuu hata billgates picha yake akiwa na mkewe ilivyoonekana watu wakasema inakuwaje wewe baba na hela zako zote unaoa mwanamke mmoja tu na mbaya zaidi hana hata chura.. sijui wafanye nini wabongo mridhike
 
The boy lives his mother's values..princess Diana..mama yake hakuwa na mipaka ya kibinadamu.alifahamika kama the queen of people's hearts.
IMG_20171128_044410.jpg
IMG_20171128_045500.jpg
IMG_20171128_043744.jpg
IMG_20171128_044700.jpg
IMG_20171128_044205.jpg
IMG_20171128_044503.jpg
IMG_20171128_044911.jpg
IMG_20171128_044056.jpg
IMG_20171128_043510.jpg
 
Hata hivyo kufikia hatua hiyo wana saikolojia wamejitahidi.

Huyu kaka ana athari za kutomjuwa baba halisi. Naona mama mwenzetu alichepuka mazima

By the way, nawatakia maisha mema.
 
Hata hivyo kufikia hatua hiyo wana saikolojia wamejitahidi.

Huyu kaka ana athari za kutomjuwa baba halisi. Naona mama mwenzetu alichepuka mazima

By the way, nawatakia maisha mema.
Hamna hyo Maisha anayoishi, ndio wajeda wengi huishi, na kama yy nae ujeda wake ummpeleka huko hio sio shida. Mi nimeipenda hii kitu mnoo, Mdada mweusi kuolewa na mtoto Wa kifalme. Full starehe, itafika sehem hii ngozi itaheshimika tu.
 
Cdm igeni na nyie. Kachukueni mademu wa pornpub
 
Hata hivyo kufikia hatua hiyo wana saikolojia wamejitahidi.

Huyu kaka ana athari za kutomjuwa baba halisi. Naona mama mwenzetu alichepuka mazima

By the way, nawatakia maisha mema.
Kitendo cha kufiwa na mama mapema kilimchanganya sana na hii ilipelekea kuanza ulevi akiwa kwenye earl teen age. Ni kweli alipata msaada wa psychologist kwa tatizo hilo.
 
Sio wazungu tu; hata mimi wa Mchambawima sijaipenda kabisa ndio maana nikauliza amekosa kabisa demu "bora" wa Kiingereza hadi akaokote masanii ya kimarekani tena machotara?
hizi tabia ni za waarabukoko, wakijifanya wao ni asili toka Oman, hawachananyi damu mwanamume kuoa black au kuchanganya Dini. Historia ya Babu yao mfalme Henry aliasi kwa kuoa kipenzi chake na akakubali atauachia ufalme na kuanzisha Dini ya Anglican stori za kibaguzi ni ndefu na zinawabwaga wengi tu
 
hizi tabia ni za waarabukoko, wakijifanya wao ni asili toka Oman, hawachananyi damu mwanamume kuoa black au kuchanganya Dini. Historia ya Babu yao mfalme Henry aliasi kwa kuoa kipenzi chake na akakubali atauachia ufalme na kuanzisha Dini ya Anglican stori za kibaguzi ni ndefu na zinawabwaga wengi tu
Hapo umejichanganya. Dhehebu la Anglican lilianzishwa muda mrefu kabla ya huyo "alieyeoa kipenzi chake" aka Edward VIII (Elder brother to King George the grand grand father to Prince Harry) hajazaliwa. Natumaini ulikuwa unajitahidi kuongelea yaliyo kwenye hiyo hati.

Edward_abdication.png
 
katika wanawanake wenye Bahati ,,,Huyu nimiongon.

Aliwahi olewa mwaka 2011 akaachana na Tajir wake ..
Mwaka 2018 anakua Duchess !!! Hahahahaha .
Duh! Usiniambie; that's even worse! Wafalme na ma-Prince wanaoa bikra huyu kaamua kwenda kuzoa li-mtalaka la kimarekani kabisa! Ha ha ha!
 
Harry Butler...huyu Diana alichepuka na jamaa
Charles hapa hana hata jicho....
 
Duh! Usiniambie; that's even worse! Wafalme na ma-Prince wanaoa bikra huyu kaamua kwenda kuzoa li-mtalaka la kimarekani kabisa! Ha ha ha!
Hahahahaha acha kabisaaaa mkuuu kuna wanawake Wa Bahati.balaaaa.

Alitalakana na Tajiri ...Saizi anaenda kua malikia hahahahaha
 
Yaaaas! Her Majesty aligoma kuwa Di asifatwe Paris coz at that time anajihusisha na Waarabu ( refer Dodi)

Duuh!...Charles akaona huu undezi sasa ! Watoto wataichukulia vipi hiyo image? Akamchana maza ake ndo ukaona vile kibibi full kuhandle msiba kinafiki nafiki!

To be candid Di was people 's heart but in Buckingham she was a threat, traitor! To make the situation worsening, full kufichua masiri ya kifalme kwa Fayed' s family, wakaona hili sasa balaa!

Sad!, they mis treated her when she was alive, sasa mpaka kifo?
Halafu ingawa alitoka kwenye royal family pia but she was so different from them kitabia.
Na kutoka na Dodi Fayed I think she was just looking for love, ambayo hakuipata from the royal family.

...Kweli Meghan ana zali la mentali

Ila mkuu kama namuona Meghan haamini kilichotokea ( to be engaged) yaan full kujistukia!


She sure met her Prince.
Hii imenikumbusha zile Fairy Tale stories, which has come to life. [emoji3]
 
Hahahahaha acha kabisaaaa mkuuu kuna wanawake Wa Bahati.balaaaa.

Alitalakana na Tajiri ...Saizi anaenda kua malikia hahahahaha
Aende kwa King Mswati akapate darsa namna na aina ya vitu wafalme wanavyooa na sio kwenda kujizolea hovyo huko beach simply mwanamke "amekukalia vibaya" ukadhani umepata mke. Hamna ndoa hapo; nategemea talaka muda sio mrefu ujao -tuombe uzima.
 
Sad!, they mis treated her when she was alive, sasa mpaka kifo?
Halafu ingawa alitoka kwenye royal family pia but she was so different from them kitabia.
Na kutoka na Dodi Fayed I think she was just looking for love, ambayo hakuipata from the royal family.




She sure met her Prince.
Hii imenikumbusha zile Fairy Tale stories, which has come to life. [emoji3]
Diana she was really ,unique and different !!!.

Basi tu ndomaana walimwondosha.
 
Si mlaumu amefuata kitu roho unapenda. Hata familia yake wamekaa kimya. Wameona kilichotokea kwenye ndoa ya Charles na Diana
Haya mambo ya "kitu roho inapenda" yanatumika vibaya. Given his position as a member of the Royal Family ni lazima vitu vingine ujidhibiti mwenyewe. Aombe darasa kwa King Mswati akafundwe aina ya vitu wafalme wanapaswa kuoa.
 
Back
Top Bottom