Mwanamfalme wa Uingereza Harry kufunga ndoa na muigizaji wa Marekani Meghan Markle

Mwanamfalme wa Uingereza Harry kufunga ndoa na muigizaji wa Marekani Meghan Markle

Sad!, they mis treated her when she was alive, sasa mpaka kifo?
Halafu ingawa alitoka kwenye royal family pia but she was so different from them kitabia.
Na kutoka na Dodi Fayed I think she was just looking for love, ambayo hakuipata from the royal family.




She sure met her Prince.
Hii imenikumbusha zile Fairy Tale stories, which has come to life. [emoji3]
Nilisoma mahali kuwa Diana alitoka kwenye aristocrast family na katika historia babuvyake alimsaidia King katika vita in medieval era. Kujua hilo aliapa hata piga magoti kwa royal family.

Hiki kiburi ndiyo kilisababisha matatizo makubwa.
 
Haya mambo ya "kitu roho inapenda" yanatumika vibaya. Given his position as a member of the Royal Family ni lazima vitu vingine ujidhibiti mwenyewe. Aombe darasa kwa King Mswati akafundwe aina ya vitu wafalme wanapaswa kuoa.
Iko kwenye damu kuna babu yake mmoja aliacha ufalme ili akamuoe mtalaka wa ki marekani.

Ingekuwa ni yule kaka yake asingeruhusiwa, Kate mwenyewe lakini hakuwa bikra kuna mjanja alisha wahi.
 
huyu kibaka atakuwa malkia alichepuka na wasira au raila si kwa ukora huo

Jamani!, Raila tena! [emoji28]

Yuko tofauti tu sana na wanafamilia wengine.
Nakumbuka kuna siku alivaa M jacket akaenda nao kiwanja halafu ulikuwa na li sign kubwa la (NAZI) mkononi.
Ikawa shughuli Buckingham Palace kuanza kutoa statement ya kujieleza.

Harry kizaazaa, labda huyu dada atamtuliza..
 
Jamani!, Raila tena! [emoji28]

Yuko tofauti tu sana na wanafamilia wengine.
Nakumbuka kuna siku alivaa M jacket akaenda nao kiwanja halafu ulikuwa na li sign kubwa la (NAZI) mkononi.
Ikawa shughuli Buckingham Palace kuanza kutoa statement ya kujieleza.

Harry kizaazaa, labda huyu dada atamtuliza..
Msela huyu raia wanampenda hakawii kwenda kupata lunch Mc Donald au kwenda kupiga pint pub.
 
Oh!, no wonder alikuwa anajichanganya sana na wa kawaida.
Kusema ukweli alikuwa mama bora, aliwafundisha watoto wake kuwa wana bahati kuzaliwa kwenye royal family, aliwapeleka kuwaona home less na aliwaambia kuna wanaoishi maisha haya.

Aliwapeleka hata Mc Donald kuonyesha si kila siku chakula kina kuwa saved na butler.
 
Ni jambo la kheri kwa Harry kuoa sasa maana amekaa na kuwa na vibinti vingi bila kuonyesha dalili ya kutaka kuoa.

Pili, Meghan ni chotara na hiyo ni dalili ya ukoo wa kifalme wa Uingereza kukubali damu ya mtu mweusi kuingia katika koo hiyo hapo ni kuonyesha kwamba huko baadae kutakuwa na watoto weusi wa kifalme.

Kuna wazungu hawajapenda sana hii kitu na wamejiandaa kujihami kwa maneno mengi.

Lakini hii ndiyo dunia tunabanana hapahapa.

Hongera Harry na Markle.
mbona kuna damu nyeusi kwenye huo ukoo miaka mingi tu. Huyo harry hajafanya jambo geni kwenye kuoa mwanamke mweusi.

bibi yake na malkia elizabeth alikuwa mweusi (charlotte huyu ni bibi yake malkia elizabeth ambaye mama yake alikuwa mweusi toka ureno).

mnaweza sangaa pale mtoto wa meghan na mwanamfalme akatoka mweusi tii hahahahahhahahah
 
mbona kuna damu nyeusi kwenye huo ukoo miaka mingi tu. Huyo harry hajafanya jambo geni kwenye kuoa mwanamke mweusi.

bibi yake na malkia elizabeth alikuwa mweusi (charlotte huyu ni bibi yake malkia elizabeth ambaye mama yake alikuwa mweusi toka ureno).

mnaweza sangaa pale mtoto wa meghan na mwanamfalme akatoka mweusi tii hahahahahhahahah
Unamaanisha mama yake queen mother au mama yake Queen Anna ambae ni mama wa King George?
 

Diana she was really ,unique and different !!!.

Basi tu ndomaana walimwondosha.


Kwa kweli Vladimir..
Unaona jinsi alivyopenda kutumia muda wake na watu wasojiweza.
Na ingawa William ndo anaonekana kufanana zaidi na mama yake kwa sura, lakini inaonekana huyu chautundu ndio yuko kama mama yake, in the heart.
 
Kwa kweli Vladimir..
Unaona jinsi alivyopenda kutumia muda wake na watu wasojiweza.
Na ingawa William ndo anaonekana kufanana zaidi na mama yake kwa sura, lakini inaonekana huyu chautundu ndio yuko kama mama yake, in the heart.
Absolutely true !!! Naitabak kua ivo siku zote.
 
Kusema ukweli alikuwa mama bora, aliwafundisha watoto wake kuwa wana bahati kuzaliwa kwenye royal family, aliwapeleka kuwaona home less na aliwaambia kuna wanaoishi maisha haya.

Aliwapeleka hata Mc Donald kuonyesha si kila siku chakula kina kuwa saved na butler.

She was super nice!

Sasa huyu Charles nae jamani ndo nini kwenda kwa Camilla wakati Princess Di was just a perfect and beautiful soul!!!
 
Duh! Usiniambie; that's even worse! Wafalme na ma-Prince wanaoa bikra huyu kaamua kwenda kuzoa li-mtalaka la kimarekani kabisa! Ha ha ha!


Hahaha!, lakini dudus Meghan kakufanya nini![emoji28]
The Queen herself amemkubali bwana, and she actually threw some shade at media walivyotaka kuanza kumnanga Meghan...lol

Pumbavu sana huyu Mkuu. Aende kwa King Mswati akapate darsa namna na aina ya vitu wafalme wanavyooa na sio kwenda kujizolea hovyo huko beach simply mwanamke "amekukalia vibaya" ukadhani umepata mke. Hamna ndoa hapo; nategemea talaka muda sio mrefu ujao -tuombe uzima.
 
She was super nice!

Sasa huyu Charles nae jamani ndo nini kwenda kwa Camilla wakati Pricenss Di was just perfect and beautiful soul!!!
Kuna mengi mkuu,

Camilla alikwenda kusoma France akiwa kule boy friend wake alimbikiri princess Anna. Camila alipopata habari aliapa lazima ambikiri Charles.
Diana aliolewa akiwa na miaka 18, baba yake alimuasa kuwa nafasi uliyoipata ni ya heshima kubwa kwa taifa. Lakini yeye alifikiria maisha ya happily ever after.

Wazazi wa Diana waliachana watoto wakiwa wadogo, mama aliolewa tena Scotland, kukiwa bila mama ili changia.
 
Kina muonekano wa wazi kwamba ,huko mbele zaidi ufarme utakufa.

Lile jalibio la kuingiza damu ya mwarabu kwenye ufarme miaka ile imefeli,sasa naona wanaanza kuingiza machotara na baadae nk.nk.nk.

Kilakitu kunakwenda automatic.
 
Kuna mengi mkuu,

Camilla alikwenda kusoma France akiwa kule boy friend wake alimbikiri princess Anna. Camila alipopata habari aliapa lazima ambikiri Charles.
Diana aliolewa akiwa na miaka 18, baba yake alimuasa kuwa nafasi uliyoipata ni ya heshima kubwa kwa taifa. Lakini yeye alifikiria maisha ya happily ever after.

Wazazi wa Diana waliachana watoto wakiwa wadogo, mama aliolewa tena Scotland, kukiwa bila mama ili changia.

Ama kweli alimpania!
That was terrible lakini, he didn't even care to have an affair wakati he's the next in line?!
Afadhali hata angekuwa hajaoa..
 
Back
Top Bottom