Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Nilisoma mahali kuwa Diana alitoka kwenye aristocrast family na katika historia babuvyake alimsaidia King katika vita in medieval era. Kujua hilo aliapa hata piga magoti kwa royal family.Sad!, they mis treated her when she was alive, sasa mpaka kifo?
Halafu ingawa alitoka kwenye royal family pia but she was so different from them kitabia.
Na kutoka na Dodi Fayed I think she was just looking for love, ambayo hakuipata from the royal family.
She sure met her Prince.
Hii imenikumbusha zile Fairy Tale stories, which has come to life. [emoji3]
Hiki kiburi ndiyo kilisababisha matatizo makubwa.