Mwanamfalme wa Uingereza Harry kufunga ndoa na muigizaji wa Marekani Meghan Markle

Mwanamfalme wa Uingereza Harry kufunga ndoa na muigizaji wa Marekani Meghan Markle

Yaliwakuta manini nisimulie basi
Brandy yule first born wake cha kike, baba mtu katangazaga ndoa halafu akala kona kali! Akawa single mother

Mwaka juzi kachumbiwa tena na jamaa mmoja ile kama wiki tu wafunge ndoa jamaa akamtext brandy kuwa kancancel kilakitu! Upo nyonyo?

Haya huyo Alicia keys na uzuri + ustaa kamkwapua Mme wa Mashonda ( Swiss Beatz) jamaa ni marioo full

Alicia anamhonga balaa ili asimkimbie!

So omba Mungu uwe na mibahati humu duniani sio sura, shape, or pesa!
 
Nasikia Harry alikuwa amelewa akawapa mchapo washikaji kuwa Meghan ana papuchi tamu balaa![emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Brandy yule first born wake cha kike, baba mtu katangazaga ndoa halafu akala kona kali! Akawa single mother

Mwaka juzi kachumbiwa tena na jamaa mmoja ile kama wiki tu wafunge ndoa jamaa akamtext brandy kuwa kancancel kilakitu! Upo nyonyo?

Haya huyo Alicia keys na uzuri + ustaa kamkwapua Mme wa Mashonda ( Swiss Beatz) jamaa ni marioo full

Alicia anamhonga balaa ili asimkimbie!

So omba Mungu uwe na mibahati humu duniani sio sura, shape, or pesa!
Kumbeee Alicia anamuhonga bwana yule ahahahahaj

Hiyo ya brand kiboko
 
Back
Top Bottom