Hii harusi ingekuwa marekani watu wangelipuka balaa. Hata sioni fashion ya kutisha mpaka sasa kwa kweli. I’m so busy kuangalia mavazi ila hola
Ila Alikiba alimfanyia mwenzie vibaya khaa hata kama mtu humpendi!Bongo joketi tu kajificha hadi saiv, wazungu wana mioyo ya kipekee
Eti alikataa kubadili dini ndiyo king akatafuta wa dini yakeIla Alikiba alimfanyia mwenzie vibaya khaa hata kama mtu humpendi!
Yaan Jojoo alikuwa anakanwa kuanzia mama kibakuli, kiba, wifi, familia nzima haikupendi we unajibebisha tuu daaaah!
Hapana buana...jojoo ana ukame na ndoa yule...alikuwa tayari kwa lolote sema hakupendwa, yaani ni kama alikuwa anafosi masikini!Eti alikataa kubadili dini ndiyo king akatafuta wa dini yake
Ila Alikiba alimfanyia mwenzie vibaya khaa hata kama mtu humpendi!
Yaan Jojoo alikuwa anakanwa kuanzia mama kibakuli, kiba, wifi, familia nzima haikupendi we unajibebisha tuu daaaah!
Eti alikataa kubadili dini ndiyo king akatafuta wa dini yake
Waingereza wako conservative hata kwenye mavazi
Royal family hazipendagi drama drama ndo maana diana yalimshinda maisha hayo.
Hata wagen waalikwa wengi sio wapenda drama kama kardashian
Nakumbuka nilivyokuwa mdogo nilikuwa nanunuliwa gauni za mtumba za hivyoHii harusi ingekuwa marekani watu wangelipuka balaa. Hata sioni fashion ya kutisha mpaka sasa kwa kweli. I’m so busy kuangalia mavazi ila hola
Yani naona fashion ya makofia tu na nywele kama vile ndo wametoka kuamka.
Kim Kardashian hajaalikwa na kanye?Prince harry akisindikizwa na prince william wanaingia kanisan saiv
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tell themKaolewa na kuachika,na kamzidi Harry umri...af bongo mnajitia hamuoi alowahi olewa hihihiii
Jigga ni mhuni nakumbuka alishapigwa km sikosei na solange vileeHov katulia now, mwanzo Bey aliipata fresh
Hakuna ndoa ya fasta ( alimuoa baada ya miaka 9, alitaka akimbie mwenyewe) na mademu wengine anachukua kama kawa!
Ila B mvumilivu sijapata ona!
Oprah, Serena, Idrisa, clooney, Beckham family kama kawa!Wit wamealikwa kina nani huko leo wapo mastar wa us
Na mvumilivu kashfa za mmewe km hazioniYuko cool sana!...hakanaga makuu
Hakumuelewa na ndo maanaHapana itakuwa kachanganya tuu
Humble African yuko vizuri mnoo
Nimeona Posh na David,Idriss Elba,Oprah n.kWit wamealikwa kina nani huko leo wapo mastar wa us