witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Duuh ulikuwa busy na Nora, mpembee, ray[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mie nimefika sekondar ndo nayapata haya huko shule ya msingi nilikua busy na tausi,kaole
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh ulikuwa busy na Nora, mpembee, ray[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mie nimefika sekondar ndo nayapata haya huko shule ya msingi nilikua busy na tausi,kaole
Jamani hivi haiwezekani huyo Malikia Elizabeth kujiuzuru kupisha damu changa?
Harry na Meghan watazaa mtoto mtamu mnoo!Halafu naona kama hii harusi yenye damu nyeusi ndani imependeza kuliko hata ya kaka yake! 😀
Sio sababu....wazungu wanafiki mnoo, inaezekana sisi walimwengu tunazugwa na Harry anapotezwa maboya, ili hata siku kapotezwa hakuna hata dalili ya ushahidi or hisia!
Wazungu nyokoo
Mwenzio hapo Camilla kala gambe kashiba!
Camilla hawezi face dunia akiwa sober never ever, refer Morton, anakwambia Camilla anapenda ulabu ili kuficha aibu yake!
Waingereza hawamtaki, tunarudi kule kule Charles kwa mareject hajambo[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Duuh ulikuwa busy na Nora, mpembee, ray[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Heeeee....hana hata Twitter?January meghan alifuta accounts zake zote za mitandaoni
Those days!Na akina bishanga,richi ,aisha,waridi acha tu mambo yalikua matamu
Kabla ya William kuna Charles ambaye ndiye baba yaoMkuu, elewa nilichoandika maana kina uhakika wa asilimia 100.
Harry ni mtu wa tano kufuatia kofia ya ufalme.
Charlotte nafasi yake imechukuliwa na Louis hivyi kumshusha Charlotte kuwa baada ya Harry.
Charlotte hawezi kumpita Harry kwenye hicho kiti ndivyo mahesabu ya kukifuata kiti hicho yalivyo.
Ni utaratibu tu lakini inajulikana Mfalme ajae na anaeandaliwa ni William.
Jamani ma bi harusi wa kibongo/kifrika ya kujifunza yapo
Simple dress and makeup....less is more
namaanisha ujue..... Najua espy tumekulia wote machingani haya hayajui TV zenyewe kazionea ukubwani.Hahaha!, muone kwanza...lol!
Camilla mkavuu we acha tu!Hahaha!, halafu nilikuwa najiuliza is she really sober?!, maana sio kujikausha huku bila soni wala aibu kwenye harusi za watoto wa mwanamke mwenzie..
Muongo huyo achana nae katika lineage wanaangalia mtoto wa kwanza naye akipata watoto atarithi mtoto wake wa kwanza au akifariki au kupata matatizo wanarithi wa 2Hivi kwenye huo mstari wanaosubiri wanaangalia na gender pia?!, kwamba Charlotte anapitwa na mdogo wake wa kiume, na anapitwa na uncle wake Harry, kwa sababu yeye ni wa kike?!
Heeeee....hana hata Twitter?
Sawa mkuu..but je unajua kuwa mzee Fayed ana bifu kali na her majesty kabla hata mambo ya Dodi na Di?
William anaandaliwa kuwa mrithi baada ya baba yake kuna mambo hawezi Fanya Harry anafanya kwasababu Ufalme hawezi pataWatu wanampenda sana Harry kwa hiyo I don’t care attitude yake. Lunch time anaweza kuingia Mac Donald na minder wake wakapata burger safi. Hayo William hayawezi.
Ok... Kumbe ndo sababu?Hana maana akitibuliwa huko anaweza yamwaga kwa hasira mitandaoni so hakuna ruhusa hio
Pengine makubaliano yalikuwa siyo dodi afeSawa mkuu..but je unajua kuwa mzee Fayed ana bifu kali na her majesty kabla hata mambo ya Dodi na Di?
Jamani ma bi harusi wa kibongo/kifrika ya kujifunza yapo
Simple dress and makeup....less is more