Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,517
- 9,762
Bibi mambo mengi ameshamwachia mwanae Charles kama mfano ukuu wa jumuiya ya madola, kusimamia mambo mengine ya kawaida nkJamani hivi haiwezekani huyo Malikia Elizabeth kujiuzuru kupisha damu changa?
Ok... Kumbe ndo sababu?
Yes yale maduka ya Harrods ni ya mzee Fayed!Tujuze Wit kumbe kabla ya Dodi, what happened?
Halafu kumbe Harrods ni zake?!
Trump anaropoka sana Twitter khaa!Ee cheki trump kila kitu anamwaga Twitter
Harry na Meghan watazaa mtoto mtamu mnoo!
Ila waingereza wabaguzi sana
William anaandaliwa kuwa mrithi baada ya baba yake kuna mambo hawezi Fanya Harry anafanya kwasababu Ufalme hawezi pata
Halafu ikaja ikawaje sasa? Akageukwa?Pengine makubaliano yalikuwa siyo dodi afe
Harrods imeuzwa kwa waraabu wa QatarYes yale maduka ya Harrods ni ya mzee Fayed!
Yule mzee alinyimwaga uraia wa uingereza , kufatilia sosi akajua ni Queen kamuekea kauzibe!
Kisa na sababu yule mzee ni mzinguaji kwenye mambo ya kodi na ana mambo flani sitayataja kwa usalama wangu
Akaja akazidi kulikoroga baada ya kumuapproch Liz na akapewa za uso!
So wale ni wana matifu kabla hata ya Diana na chalz kuoana!
Labda at least ningeambiwa Fayed alitaka Di awe na Dodi ili kumkomesha Liz! Only this...
Nalendwa watu huku umesikia wanakwambia anaweza kumalizwa hata be4 hajaconceive we unashangaa kubaguliwa!Saana!, lakini sidhani watathubutu kumbagua?!
Hata katika familia nyingi zinazokulia vijijini kijana wa kiume wa kwanza kuzaliwa huwa anafundishwa na baba yake namna ya kuwaongoza wenzake na wengi huwa siyo watu wa kujichanganya, kwni mambo wanayoyafikiria na heshima wanayopata huwafanya kuwa seriousKweli harry yupo huru sana mfano harusin leo,harry alikua free kugeuka geuka kanisan na kutaniana na wenzie ila william katulia tu na anaongea kwa step
Kwahiyo kabaki na Fulham na ile hotel ya ufaransa Ritz hotel?Harrodsbimeuzwa kwa waraabu wa Qatar
Fulham iliuzwa, Fayed anaishi Greece Uingereza hana hamu nayoKwahiyo kabaki na Fulham na ile hotel ya ufaransa Ritz hotel?
Kafulia nowdays or?
ile style yake ya vile vijihereni "" nilikuwa na vipenda mnooo"" aisee..Hunishindi Mimi...Di kafa nikiwa mtoto kabisa, but kutokana na familia yangu kuifatilia hiyo familia nikajikuta napenda kujua mambo yao! Basi nikajiapiza siku nikikua nikawa na life langu ntawafatilia kila step[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Amehamia Greece?Fulham iliuzwa, Faye’s anaishi Greece Uingereza hana hamu nayo
Kuwakomoa alihakikisha Harrods hainunuliwi na mzunguAmehamia Greece?
Ni ile kesi ya kutaka damu ya mtoto wake irudi imemgharimu?
Yule uraia wa uingereza kanyimwa mpaka kesho!
Maskini mzee wa watu!
Mi nilikuwa napenda akicheka! Ana tabasamu flani sijapata liona mahali!ile style yake ya vile vijihereni "" nilikuwa na vipenda mnooo"" aisee..
Yes yale maduka ya Harrods ni ya mzee Fayed!
Yule mzee alinyimwaga uraia wa uingereza , kufatilia sosi akajua ni Queen kamuekea kauzibe!
Kisa na sababu yule mzee ni mzinguaji kwenye mambo ya kodi na ana mambo flani sitayataja kwa usalama wangu
Akaja akazidi kulikoroga baada ya kumuapproch Liz na akapewa za uso!
So wale ni wana matifu kabla hata ya Diana na chalz kuoana!
Labda at least ningeambiwa Fayed alitaka Di awe na Dodi ili kumkomesha Liz! Only this...
Fayed anasisitiza, Dodi na Diana wangeoana; na kwamba alikuwa mjamzito. Anasema waliuawa na vikosi vya usalama vya Uingereza kwa sababu familia ya Kifalme isingevumilia kumwona Diana kapakata kitoto Kiislamu!Halafu ikaja ikawaje sasa? Akageukwa?
Haaahaaa..safi sana, this year 2000 kaka angu alienda kwenye maduka yake hayo ya Harrods akaja na mipicha ya mle ndani !Kuwakomoa alihakikisha Harrods hainunuliwi na mzungu