Mwanamfalme wa Uingereza Harry kufunga ndoa na muigizaji wa Marekani Meghan Markle

Jamani wanaume hawaachi ushenzi hadi kwa mastaa??
 
Nasikia Harry alikuwa amelewa akawapa mchapo washikaji kuwa Meghan ana papuchi tamu balaa![emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Wit umeanza kutufunga kamba sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
T


Diana hakumalizwa kwa sababu hiyo mkuu, di alijua siri nyingi za hii famili na alijiapiza kuzianika kwahiyo ilikumnyamazisha ilibidi itengenezwe skendo coz di alikuwa mtu wa watu sana, ndiyo akatafutwa huyo mwarabu.
Siri gani hiyo hebu tupashee hata mbili tatu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…