Ajabu ni kwamba wanawake wengi huwa hawayaoni hayo, mara zote huwa wanaamini baada ya kuanza kuishi na mwanaume labda ataweza kumbadilisha au mwanaume ataweza kubadilika.
Zaidi ya hayo miaka ya karibuni wanawake wamekuwa wanajali zaidi mali kuliko tabia za mwanaume. Wapo tayari kuolewa na mwanaume goigoi mwenye mali za urithi kuliko mwanaume mchapakazi mwenye kipato cha kawaida.
best katika hizo zote kumi umekosa hata sifa moja weye
Hahah...kitu pekee ninachokosa ni kukumiss wewe na kutokujua ni namna gani nitakupata.
Mmh kwa wanaonifahamu labda wanielezee maana nimeshakutana na marafiki wengi wa hapa JF zaidi ya 10.
...im tayad of sitting and doing "nothing" at all!
ile nyingine itakuwa maana ipo katikati!!!
...utafreeze huko kwenye maseva kisa top floor kumbe sio!!!
Ngoja nitaongea na Mentor anipe katiba ya hicho chama aisee...
Hao raia huwa ni wapole sana, nilikuwa na rafiki yangu tokea huko wakati nasoma basi kwao ni wapole kuanzia baba, mama hadi kitinda mimba.
bora uwe muha wa kigomaa tehetehetehetehe
tuachue tunaojua kula na vipofu sie ni bora mbishi utakwepa bishana nao hayo matabia hapo juu utampeleke wapi??????binti wewe...mbona kuntesa ivo kisaikolojia! Ntakusemea kwa sami....!!!!
Kaka mkubwa watu8, unazani hawa wadada wanatumia written consitution? Just go with the unwritten one utaenjoy maisha...
Wewewewe..mha na msafwa ni watu wabishi sijapata kuona mfano wao duniani!!!
Binti wewe...mbona kuntesa ivo kisaikolojia! ntakusemea kwa Sami....!!!!
mwambie huyo huko ndiko tunajifunzia wanaume wakoje ati hujapitia huko utatembea na wanaume 100.unakung'uta vumbi unasonga mbela
Ina maana BADILI TABIA kabadili biashara ya kuuza migebuka na sasa anauza dagaa mchele wa ferry au nimekunukuu vibaya.......wapo ferry kwenye mnada wa dagaa...sasa hivi wanatoka watakuja!!!
mis u so much best, am hapy dat a met u here once again.afu kumuuliza mtu kuhusu mtu ya nini na wote tupo tz hii hii,
aache kukutesa ladyfurahia na ushamba wake wa pantoni....
sasa mie ntakusemea kwa "challenger"......macho nimekazia kwenye mishale ya saa...unafikiri siku zarudi nyuma?!?!?
utabana ngenge weweeee
Heheh kan't wait mie..ila nna wasiwasi tu akijua tu wapemba wote wikend anahamia kwangu!!!!:shut-mouth:
Af omba Mungu 'doing nothing' isiwepo lazima nikuchonganishe!!!:rockon:
tehtehteee umhamishe kihalali sio kiholela banaaaaaaaaaa............
"doing something" will be there! na hapo utanichonganisha?!!??! loooh we mbayaaaaaaa
aache kukutesa ladyfurahia na ushamba wake wa pantoni....
sasa mie ntakusemea kwa "challenger"......macho nimekazia kwenye mishale ya saa...unafikiri siku zarudi nyuma?!?!?
utabana ngenge weweeee