Mwanamke: Aina 10 za wanaume wa kuepuka kuwa na mahusiano nao hawa hapa…!

Mwanamke: Aina 10 za wanaume wa kuepuka kuwa na mahusiano nao hawa hapa…!

Kwa maelezo ayo wanaume wa sifa izo wasioe wabak wenyew il wabakie na kero zao!..
Haujawatendea haki.....pia kuna option ya kubadilika ambayo haujaizungumzia!!

Nilidhan ungemaliza kwa kuonyesha chances za kubadil tabia izo ambazo kimsing mwanamke uyo uyo anaweza kua chachu ya kubadil tabia ya mwanaume wa aina izo...

By the way i learn somethin

umeongea point sana mwanamke mzuri yule mvumilivu na chachu ya maendeleo kwa mume wake hata kama ni mlevi au ana tabia mbaya yeye ndo anpaswa aibadilishe na kwa upande wa wanawake mbona wapo wengi ambao hawana vigezo vya kuolewa nilidhani mtoa mada angegusa pande zote mbili badala yake kaegemea upande mmoja
 
Hakua mwanaume mwenye sifa zote hizo peke yake hivyo ni nafsi kwa mwanamke kuchagua ambaye anaweza kumvumilia au la asiolewe kabisa

Mimi ninazo zote ulizozitaja lakn ninaishi vizuri na mke wangu na watoto wanaustawi!!!
 
mbona unazunguka sana taja majina bana mfano mtani wangu mshana jr ,Nasema wataje bila woga!
 
Mimi ninazo zote ulizozitaja lakn ninaishi vizuri na mke wangu na watoto wanaustawi!!!
Hongera mkuu jua kuwa mama watoto anakujua maana waswahili wanasema ukimjua mbwa wako jina hakusumbui
 
umeongea point sana mwanamke mzuri yule mvumilivu na chachu ya maendeleo kwa mume wake hata kama ni mlevi au ana tabia mbaya yeye ndo anpaswa aibadilishe na kwa upande wa wanawake mbona wapo wengi ambao hawana vigezo vya kuolewa nilidhani mtoa mada angegusa pande zote mbili badala yake kaegemea upande mmoja
Angali hata kichwa cha habari kimeandikwaje hiyo ya upande wa pili itakuja na yenyewe vuta subira ila kwa leo changia hii ya upande mmoja kumbuka hata uvumilivu huisha kama hamna mabadiliko,hujaona watu wanakuja kutangaza talaka humu ndani kwamba hawakuwa na uvumilivu?
 
Kwa maelezo ayo wanaume wa sifa izo wasioe wabak wenyew il wabakie na kero zao!..
Haujawatendea haki.....pia kuna option ya kubadilika ambayo haujaizungumzia!!

Nilidhan ungemaliza kwa kuonyesha chances za kubadil tabia izo ambazo kimsing mwanamke uyo uyo anaweza kua chachu ya kubadil tabia ya mwanaume wa aina izo...

By the way i learn somethin

Ameweka katika "NB".
 
Hivi aliyeanzisha uzi ni me au ke?

Nimeshangaa sana.
Inakuwaje mwanaume eti anajikunja kuandika kitu kama hiki au ndo wale madear na mahoney nilopishana nayo kwenye thread flani kule!!!

Na mwanaume mwenye tabia za kike huwa yupo upande wa kike kuelezea habari za wanaume wenzie,naye ni wa kuepukwa na wanaume.
 
Nimeshangaa sana.
Inakuwaje mwanaume eti anajikunja kuandika kitu kama hiki au ndo wale madear na mahoney nilopishana nayo kwenye thread flani kule!!!

Na mwanaume mwenye tabia za kike huwa yupo upande wa kike kuelezea habari za wanaume wenzie,naye ni wa kuepukwa na wanaume.
Huo ni mtazamo hasi na watu kama wewe ndiyo mnao wanyanyasa wanawake eti kwa sababu ya uanaume,kuwa mwanaume haina maana ndo huna haki ya kusema mambo hayafai kufanywa na mwanaume,mbonakun wanaume wanafundisha jinsi ya kumfikisha mwanamke kileleni au hizo huwa hauzioni kwenye mabaya sema na kwenye mazuri sema penye kukosoa kosoa na penye kusifia sifia tu bila kujali wewe ni mwanaume,heu niambie wale watoto omba omba na machokoraa wote wazazi wao walikufa? au mwanaume aligawa mimba akasepa na mwanamke matunzo yakamshinda sasa hili kumbe linatakiwa lisemwe na mwanamke tu? badilika kuwa na mtazamo chanya i hope sijakukwaza
 
Nashukuru mtoa mada sasa kama nina mtu mwenye sifa hizo kama 4/5 hivi nitamwepukaje?
 
Huo ni mtazamo hasi na watu kama wewe ndiyo mnao wanyanyasa wanawake eti kwa sababu ya uanaume,kuwa mwanaume haina maana ndo huna haki ya kusema mambo hayafai kufanywa na mwanaume,mbonakun wanaume wanafundisha jinsi ya kumfikisha mwanamke kileleni au hizo huwa hauzioni kwenye mabaya sema na kwenye mazuri sema penye kukosoa kosoa na penye kusifia sifia tu bila kujali wewe ni mwanaume,heu niambie wale watoto omba omba na machokoraa wote wazazi wao walikufa? au mwanaume aligawa mimba akasepa na mwanamke matunzo yakamshinda sasa hili kumbe linatakiwa lisemwe na mwanamke tu? badilika kuwa na mtazamo chanya i hope sijakukwaza

Mimi sikwaziki kwa hoja.

Ila ninachoamini ni kwamba siko sawa na mwanamke.

Lakini mkuu, kwani kuna mwanaume anakuwa na mimba kiasi cha kusema wanawapa/wanagawa mimba kwa wanawake?

Mimba siku zote ni ya mwanamke na ni matokeo ya kujamiiana kavu.
 
Back
Top Bottom