Uchaguzi 2020 Mwanamke ajitokeza kuwania Urais kupitia CHADEMA. Ni Msomi, Mwanamke wa Shoka, Ana uwezo na Jembe Kweli, ila...

Hivi ndani ya chadema kigezo chakumpa mtu ubunge wa viti maalum au cheo chochote ni kua na elimu tu au ni pamoja na mchango wako ulioutoa kwenye chama?
Hizo ni sifa za msingi, ila kuna sifa nyingine ya UAMUZI Pascal ameinyaka kwa mbali ila hataki kutuwekea wazi. Tutajitahidi mpaka hiyo sifa iwekwe wazi ili wanachama wengi wa KE wajitokeza kwenye mchakato.
 
Ivi uyu mama kumbe yupo serious?
 
Ndugu Pascal, ni jambo la kufarahisha sana, kupna dada zetu wanajitutumua, wanao uwezo, Akili, Busara na Subra ya kiongoza nchi, tena vizuri sana kuliko wanaume, H3bu tuangalie nchi zilizo ongozwa na wanawake.

INDIA,UK,SRILANKA,ISRAEL,GERMANY,LIBERIA, BANGALADESH, NEWZEALAND N.K..., and All these women wameongoza vizuri sana, nadhani ni wakati muhimu sana kuwapa Dada zetu fursa ya kiuongozi.

Swali langu Ndugu PASCAL , iwapo atanyimwa nafasi hata ya kugombea ndani ya chama huko CDM, nataka uu visualize hayo matusi atakavyotukanwa na viongozi, washabiki wa chadema, na huyo CHOKORA ANAYEITWA KIGOGO, Ambaye ni majeshi ya kukodishwa.

Na pia akiamua kurudi ccm , watampakia matusi na kusingizia umalaya asiokuwa nao.

Ninampa pole zangu in Advance, knowing what may happen, i sincerely hope chadema has matured.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
suala ni kujiuliza,kwanini hakupata hata ubunge wa viti maalumu mtu potential kama huyu
 
hivi kule ccm mlimfanyeje Membe alipoonyesha nia kwa kiti cha jiwe
 
Aisee mkuu Mayala kuna siku unakua upande wa CDM unawatwanga lumumba Kuna siku unaenda lumumba unatupiga CDM yaani shagharabaghala tu yaan hueleweki like sigara ya nyota
 
Paschal lipo jambo hutaki kulinena, tatizo sio kulegeza na kulegea hata unapolegea lazima wakulungwa waangalie yaliyomo yamoo[emoji83] we mtu mzima tutakua tumeelewana
 
Kwa mara nyingine tena 2020 tunaweza shuhudia ccm ikisimamisha mgombea kwa chadema
 
pascal kwahiyo unatushauri nn au unaturaumu...maana ndan ya chadema kila mtu ni sawa mbele ya katiba ya chama kwahiyo hatuangalii kigezo cha elimu bali ni mwanachama na anakila sifa
 

Naona na wewe umeanza kuleta mada kama wanawake wa Mwananyamala, unataka kuaminisha watu kuwa vyeo vinatolewa cdm kwa kutoa ngono, na huyo mwanamke anayegombea urais hawezi kutoa ngono. Tunakuheshimu lakini naona unaanza kuleta mada za kihanithi.
 
Sisi CCM tunaye Shoka haswa, kuna mizizi mingi ya kukata, Jembe haliwezi hiyo kazi. Jembe au panga hatutaki ni laini sana kwa kung'oa visiki na mizizi iliyokomaa kwa ufisadi. Shoka letu ni Mh. JPM dunia nzima sasa inamjua ni Shoka haswa[emoji28]
at first time nlkua nakuona ni mtu smart sana ulkua unani inspire sana

Labda ni mtu smart kweli ila umejitoa ufahamu

Mkulima wa mahindi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…