Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
Hivi ela zifike mpaka sh ngapi..?? Ndo tuache kutafutaMsipotafuta hela muda si mrefu tutaanza kuwafu....k endeleeni kucheka na kima mwanamke anakufokea na unakenua tu,,
Ndo wap huko mkuuKyerwa Huku Haiwezekani Kutokea Hiyo
Jirani Na Rwandando wap huko mkuu
imewatokea wanaume wengi sana wa dar! sisi wa mikoani hatunaga huo ujinga..yaani mwanamke unampigia simu kwa namba yako anakata...alafu ukipiga kwa namba nyingine inapokelewa.....akisikia sauti yako tu anafoka.."hivi we mwanaume hujui nipo msibani"
Unabaki Kujibu "SAMAHANI BABY..NILITAKA KUJUA TU MAREHEMU ANAENDELEAJE! SAMAHANI SANA MY WANGU."
Mpaka mwanamke atakapoacha kukufokea ndipo uche kuzitafutahivi ela zifike mpaka sh ngapi..?? ndo tuache kutafuta
imewatokea wanaume wengi sana wa dar! sisi wa mikoani hatunaga huo ujinga..yaani mwanamke unampigia simu kwa namba yako anakata...alafu ukipiga kwa namba nyingine inapokelewa.....akisikia sauti yako tu anafoka.."hivi we mwanaume hujui nipo msibani"
Unabaki Kujibu "SAMAHANI BABY..NILITAKA KUJUA TU MAREHEMU ANAENDELEAJE! SAMAHANI SANA MY WANGU."
Doooh "MAREHEMU ANAENDELEAJE..".imewatokea wanaume wengi sana wa dar! sisi wa mikoani hatunaga huo ujinga..yaani mwanamke unampigia simu kwa namba yako anakata...alafu ukipiga kwa namba nyingine inapokelewa.....akisikia sauti yako tu anafoka.."hivi we mwanaume hujui nipo msibani"
Unabaki Kujibu "SAMAHANI BABY..NILITAKA KUJUA TU MAREHEMU ANAENDELEAJE! SAMAHANI SANA MY WANGU."
Aiseee na yaliyomkuta Dr. Slaa je?imewatokea wanaume wengi sana wa dar! sisi wa mikoani hatunaga huo ujinga..yaani mwanamke unampigia simu kwa namba yako anakata...alafu ukipiga kwa namba nyingine inapokelewa.....akisikia sauti yako tu anafoka.."hivi we mwanaume hujui nipo msibani"
Unabaki Kujibu "SAMAHANI BABY..NILITAKA KUJUA TU MAREHEMU ANAENDELEAJE! SAMAHANI SANA MY WANGU."
Usipokuwa na hela mwanamke anakuona kma Ng'ombe hivi mara imekaa kwenye kiti au imelala Kitandani ππ€£π€£πππMsipotafuta hela muda si mrefu tutaanza kuwafu....k endeleeni kucheka na kima mwanamke anakufokea na unakenua tu,,
Ni upuuzi tu kutafuta pesa kwa ajiri ya kumridhisha mwanamkeUsipokuwa na hela mwanamke anakuona kma Ng'ombe hivi mara imekaa kwenye kiti au imelala Kitandani [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji16][emoji16]
Yani hata ukipiga simu za my unafokewa tu,,Usipokuwa na hela mwanamke anakuona kma Ng'ombe hivi mara imekaa kwenye kiti au imelala Kitandani ππ€£π€£πππ
Usijitafutie kesi zisizo na ulazima. Kama mmeshindwana na mwanamke kila mtu anaangalia utaratibu wake tu. Utakuja kuua mtoto wa mtu mkuu.Kipigo kwa mwanamke ni jambo muhimu sana na wao wanajua hilo. Usimnyime kipige mpenzi wako
Unatakiwa umtwange na mtwangio kisawasawa uone kama atakuwa na fyokofyokoMsipotafuta hela muda si mrefu tutaanza kuwafu....k endeleeni kucheka na kima mwanamke anakufokea na unakenua tu,,