Mwanamke akikujibu SMS yako hivi acha haraka sana kuchat nae

Mwanamke akikujibu SMS yako hivi acha haraka sana kuchat nae

dawa ni kuachana na umalaya basi...unakuwa unakwepa mizinga at the same time unajiepusha na maradhi

Hapo umesema kweli! Michepuko chanzo kikuu cha kupigwa mizinga. Na mwanzo mkuu wa kuyumba kwa uchumi wa familia.
 
ukwel uliopitiliza ndo huo! mabuz ya chuo ndo misemo yao hyo hasa bumu likiwa limechelewa kubpu bpu kwingi
 
Mchezo mnataka,kuhudumia mnang'aka!!!!
Kama ndio mawazo ya wengi Haya basi nawapa pole wasichana wa Karne hii
 
sasa kama huna msaada unauliza ya nini?" si ufunge kinywa chako....... unajichetua na maswali ya mtego nikwambie mazuri wakati kiuhalisia ni mabaya hapana kwa kweli......''Maisha yanasemaje kipenzi changu'' nitakujibu maisha yanataka hela na sina hela embu nitumie laki 5 hapo mar moja......

Miss chagga umenistua ka kweli vile, yaani wewe ungekua demu wangu nishakumwaga zamani. Kiukweli mimi mizinga yoyote inayoanzia digits sita, hesabia umenipoteza.
 
Mizinga hatukatai, ipo tu. Binafsi demu akinipiga mzinga unaoanzia digits sita, ajue amenipoteza.
 
PhD kweli we mchunguzi huru umeing'arisha siku yangu ndo nacheka muda hu mara kwanza leo.
 
tehe tehe tehe tehe tehe loading error.......................
 
sasa kama huna msaada unauliza ya nini?" si ufunge kinywa chako....... unajichetua na maswali ya mtego nikwambie mazuri wakati kiuhalisia ni mabaya hapana kwa kweli......''Maisha yanasemaje kipenzi changu'' nitakujibu maisha yanataka hela na sina hela embu nitumie laki 5 hapo mar moja......

C utafute za kwako kwanini uwe kupe?
 
Duh kwa kweli sisi wanawake tumezidi mizinga ila kama mwanaume anakupenda kweli ni jukumu lake kukusaidia ila uwe mkweli na uweze kufaidi mengi kutoka kwake
 
Back
Top Bottom