Sirdirashy
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 3,243
- 3,047
sasa kama huna msaada unauliza ya nini?" si ufunge kinywa chako....... unajichetua na maswali ya mtego nikwambie mazuri wakati kiuhalisia ni mabaya hapana kwa kweli......''Maisha yanasemaje kipenzi changu'' nitakujibu maisha yanataka hela na sina hela embu nitumie laki 5 hapo mar moja......
Mmh ww kweli mchaga mm nawaogopa nyinyi napesa zangu mbuzi nikiona hii title ya chaga mm hata kusalimia si salimii atleast useme 50,000 mmmh laki tano