Mwanamke akikujibu SMS yako hivi acha haraka sana kuchat nae

Mwanamke akikujibu SMS yako hivi acha haraka sana kuchat nae

Kibaya zaidi wengine wanakupiga mizinga hata kabla hujakula papuchi yake!
 
sasa wewe si mume mtajarajiwa tutajuaje kama majukumu unayaweza?

kunipiga mizinga hakukufanyi ujue kuwa majukumu nayaweza....kama una macho na akili kidogo tu utajua huyu anayaweza au hawezi
 
wanakimbia majukumu yao hao wamwambie Mungu aweke mabadiliko, sie tuwe kama wao
ili waone tutakayotoa hela na wala hatunaga ubahili kama wao



cc Asprin , Excel KakaKiiza

Mungu hajasema tuhudumie vimada au michepuko politely tunawaita gfs....tuna jukumu la kuhudumia wake na watoto wetu vimada ni optional!!!!
 
Uko juu sana mchunguzi ndo zao hao. Ila umesahua hii haloo ukipokea tu nipo hospitalini naumwa sana kinachofuata hapo sasa.............................!!!!!!!!!!!!!!!!
 
HEEEEEEEE DADDY KUMBE UNAMWIBIA MAMA KIAINA BILA YEYE KUJUA KUWA NAWE UKO KUNDI BZZ?
HAYAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA :A S-eek::A S-eek::A S-eek::A S-eek::A S-eek::A S-eek::A S-eek::A S-eek:


CC: mwekundu, Asprin,

ha ha kuna wengine kwenye kundi letu hutakiwi kuwatambua kabisa kwa sababu title ya kazi yao ni ma Ghost(invisible)
 
kunipiga mizinga hakukufanyi ujue kuwa majukumu nayaweza....kama una macho na akili kidogo tu utajua huyu anayaweza au hawezi

lazima uwajibike katika matatizo yangu pia mume akiwa bahili mwanzo wa uhusiano hata huko mbele ni shiiida
 
juzi kati kademu kamoja nakasalimia .mambo....habari za mchana.kakajibu poa ila sijala.
machale yakanicheza nikajua hapo nataka kupigwa mzinga wa lunch.nikauchuna.after 5mnts kakatuma msg "mbona kimya dear hujajibu msg yangu".
chezea kupigwa mzinga wewee!
 
lazima uwajibike katika matatizo yangu pia mume akiwa bahili mwanzo wa uhusiano hata huko mbele ni shiiida

kukataa kupigwa mizinga hovyo sio ubahili,ni kujitambua tu.....jifunze kujitegemea na mimi nitajua hapa kuna responsible wife to be....kusaidiana kupo ila usinigeuze baba yako kabla hata sijatoa posa
 
kukataa kupigwa mizinga hovyo sio ubahili,ni kujitambua tu.....jifunze kujitegemea na mimi nitajua hapa kuna responsible wife to be....kusaidiana kupo ila usinigeuze baba yako kabla hata sijatoa posa

kwani unafikiri mizinga tunapiga kila siku hapana ni pale maji yanapotufika shingoni why nihangaike kwingine na honey upo? ndo mana unakuwa wa kwanza kufikiriwa
 
Back
Top Bottom