Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hawapoo
wazazi wake.
sasa wewe si mume mtajarajiwa tutajuaje kama majukumu unayaweza?
kunipiga mizinga hakukufanyi ujue kuwa majukumu nayaweza....kama una macho na akili kidogo tu utajua huyu anayaweza au hawezi
lazima uwajibike katika matatizo yangu pia mume akiwa bahili mwanzo wa uhusiano hata huko mbele ni shiiida
njoo uchukue.
Sasa mnataka tuwaombe hela kina nani?
Hebu nitumie kwa mpesa bwana.....lol
kwani nye vilema mnaombaombaSasa mnataka tuwaombe hela kina nani?
kukataa kupigwa mizinga hovyo sio ubahili,ni kujitambua tu.....jifunze kujitegemea na mimi nitajua hapa kuna responsible wife to be....kusaidiana kupo ila usinigeuze baba yako kabla hata sijatoa posa
kwani nye vilema mnaombaomba
waombeni waume zenu/baba zenu