Mwanamke akikujibu SMS yako hivi acha haraka sana kuchat nae

Mwanamke akikujibu SMS yako hivi acha haraka sana kuchat nae

tabibumtaratibu em cam zis wei nikuombe hela mie we ndo unafaa mwanaume kutunza banah sio kuwa na mkono wa birika sa usipomhudumia mpenzio nani amhudumie?
yani nashindwa ata kushangaa, eti mwanaume anaogopa kuombwa ela....sheeeeh...
 
Last edited by a moderator:
Mwanaume wa ukweli lazima upigwe mzinga na mkeo,mchepuko,mpenzi. Sasa usipopigwa mzinga utasimulia nini ofisini,kijiweni,baa mmh
 
Hahaaa sasa sabuni na mafuta unanunua Tani ngapi? Dah haya basi ntakumia gharama za uchakavu lol!

rehabilitation and maintainance ini very expenive mkuu acha kabisa vitu vinatunzwa hivi .............we usijali tuma tu
 
Ukiona umemtumia mpenzi wako/mchumba wako/mchepuko wako/mke wako au hata rafiki wa kike wakati mwingine SMS ya kawaida tu kwaajili ya kumsalimia lakini yeye akakujibu moja kati ya majibu yafuatayo, tafadhali sana usiendelee kuchat nae maana kinachofuata hapo ni majanga tu.

KWA MFANO:
1. Ukimtumia sms ''Mambo mpenzi wangu?'' akikujibu ''mambo mabaya'', usimuulize kwanini mambo mabaya, ukimuuliza atakwambia kuwa ''sina hela dear''

2. Ukimtumia sms ''Maisha yanasemaje kipenzi changu'' akikujibu ''maisha magumu hubby wangu we acha tu'' usimuulize kwanini, ukimuuliza kwanini atakwambia ''nimefulia mwenzio kama nini sijui''

3. Ukimtumia sms ''Mbona kimya sana mchumba wangu, umenitupa kiasi hicho'' akikujibu ''sijakutupa wangu yaani mambo hata hayaendi'' usimuulize kwanini mambo hayaendi, ukimuuliza atakwambia kuwa ''yaani sina kitu mpenzi wangu, simu ilikuwa haina hata hela ya kubeep''

4. Au ukiona mwanamke anaanza kwa kukwambia nikwambie kitu? We mkatalie kiutani utani tu, mwambie usiniambie, hata akikomaa vipi akwambie mwambie sitaki uniambie huku unafanya kama utani lakini moyoni unakuwa upo serious.

Ni mara chache sana mwanamke akikwambia kuwa mambo mabaya, maisha magumu au mambo hayaendi huwa na matatizo mengine kama kuumwa, misiba.... n.k lakini THE REST ni wapigaji mizinga tu. Akikwambia maisha magumu mjibu ''pole wangu, mambo mengine vipi?''

Ukipewa majibu kama hayo, chagua moja, either usiendelee kuchat nae mpaka badae kidogo au mbadilishie maada ili kukwepa huo mzinga ambao unakuja mbele yako.

Dr. MCHUNGUZI HURU (PhD)

mzee wa tafiti.
 
Huwa wanajua kuongeza michepuko ni kuongeza mapato..One mchepuko ni sawa na laki tano/month, je? 10 michepuko ni kiasi gani kwa month? Hahaaaa mtu anaweza ondoka na milion tano kwa mwezi mkuu.

nahisi tungeongoza kwa utajiri mkuu... wewe wanaume wagumu hawachuniki siku hizi
 
Dah kweli wewe Dr. Mchunguzi ......Kweli kabisa hili lipo....Hasa mimi nnatabia ya kuuliza BABIIII NIKUAMBIE KITU ?? Naogea huku natabasamu nikiwa namshika shika nywele mara shavu...hahahahaha







Ukiona umemtumia mpenzi wako/mchumba wako/mchepuko wako/mke wako au hata rafiki wa kike wakati mwingine SMS ya kawaida tu kwaajili ya kumsalimia lakini yeye akakujibu moja kati ya majibu yafuatayo, tafadhali sana usiendelee kuchat nae maana kinachofuata hapo ni majanga tu.

KWA MFANO:
1. Ukimtumia sms ''Mambo mpenzi wangu?'' akikujibu ''mambo mabaya'', usimuulize kwanini mambo mabaya, ukimuuliza atakwambia kuwa ''sina hela dear''

2. Ukimtumia sms ''Maisha yanasemaje kipenzi changu'' akikujibu ''maisha magumu hubby wangu we acha tu'' usimuulize kwanini, ukimuuliza kwanini atakwambia ''nimefulia mwenzio kama nini sijui''

3. Ukimtumia sms ''Mbona kimya sana mchumba wangu, umenitupa kiasi hicho'' akikujibu ''sijakutupa wangu yaani mambo hata hayaendi'' usimuulize kwanini mambo hayaendi, ukimuuliza atakwambia kuwa ''yaani sina kitu mpenzi wangu, simu ilikuwa haina hata hela ya kubeep''

4. Au ukiona mwanamke anaanza kwa kukwambia nikwambie kitu? We mkatalie kiutani utani tu, mwambie usiniambie, hata akikomaa vipi akwambie mwambie sitaki uniambie huku unafanya kama utani lakini moyoni unakuwa upo serious.

Ni mara chache sana mwanamke akikwambia kuwa mambo mabaya, maisha magumu au mambo hayaendi huwa na matatizo mengine kama kuumwa, misiba.... n.k lakini THE REST ni wapigaji mizinga tu. Akikwambia maisha magumu mjibu ''pole wangu, mambo mengine vipi?''

Ukipewa majibu kama hayo, chagua moja, either usiendelee kuchat nae mpaka badae kidogo au mbadilishie maada ili kukwepa huo mzinga ambao unakuja mbele yako.

Dr. MCHUNGUZI HURU (PhD)
 
Kumbe unataka kuweka na kaheshima salun,

ndiyo nikienda pale hata kama anasuka wengine anawaambia huyu aliweka booking tokea juzi subiri amalize nitaendelea na wewe hapo hapo natoa ofa ya soda hata bia lakin si kwa hela yangu hela ya mwanaume haiumi
 
hahaaaaa ..shkamooo mchunguzi huru ..yaani hizi zote nishawahi kukutana nazo
 
Hahahaa... yaan ukinipiga iko kizinga nikikumata nasimamia vidole kabsa... nakupaua yaan mpaka hela yangu irudi
 
Mkuu uko right ongeza na hii ya "ahadi ni deni"
Kuna baadhi ya kinadada pia baada ya kuongea na kuchat kama muda hivi, from no where unaeza pigwa deni la AHadi ambayo hata hujui uliihadi lini. Utastaajabu pale itakapo ambiwa" honey mbona ahadi yangu ya simu siioni" kazi itakuwa ni kwako hapo sasa sijui hio ahadi utaitoaje.. Ndo unadaiwa simu - ambayo hujui hata ni lini uliiahidi.. Pia bila kusahau simu inayotakiwa hapo ni smartphone,.
Mwisho'
Asante bro kwa kutuweka attention .. Kwani kuna watu saa hii wanajijitia bajeti zimeharibika
 
Ww jamaa uko sahihi kabisa, nina experience na hii kitu kabisa!
 
Back
Top Bottom