Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa...kwa hiyo nalipia taamu ya baba?ndiyo ukininyima hela sikupi tamu ya baba
Hahahaaa...kwa hiyo nalipia taamu ya baba?
Mie sinaga usawa bwana.Naomba laki moja niende kwenye harusi ya shost yangu.......lol[/QUOT
PM nikutumie....:A S wink: mimi sijasema. nilikua nachangia tu
Nakuja pm maana huwa sipendi utani kwenye hela......lol
Sasa mnataka tuwaombe hel kina nani?
Sasa mnataka tuwaombe hela kina nani?
Unanikumbusha kipindi cha nyuma kidogo, mdada mmoja alitaka nimkopeshe hela km laki tatu, yeye alikua na laki 2 kuna kazi ya laki tano alitaka kuifanya baada ya mwezi, basi nkamwambia haina shida ntakupa, ila shart langu ni moja, nitumie hiyo laki mbili ulonayo then ntakutumia laki tano yote muda wa hiyo kazi ukifika. Hahaaaaa.....alianza kiswahili mara ooh sijui.......
dikembe mi nna shida na laki tatu naihitaji mwezi wa kumi ila nna laki moja....nikutumie hiyo laki moja mwezi wa kumi unitumie laki tatu?Kumbe hakuwa na hela wala hakua na mpango wa kazi ya laki tano. Alitumia mbinu ili nimpe then iwe kwaherii...nyinyi mna maambo sana.
nimecheka kweli duuuh.....Akikujibu maisha magumu! Mwambie Mimi naharisha mpenzi wangu, hapa nilipo nipo karibu na choo!
Hawa ndugu zetu wana mbinu sana mkuu......hahaha! nami umenikumbusha---kuna mchepuko wangu mmoja uliwahi kutaka kunipiga mzinga kwa staili kama hii nikaushtukia mapema
Unanikumbusha kipindi cha nyuma kidogo, mdada mmoja alitaka nimkopeshe hela km laki tatu, yeye alikua na laki 2 kuna kazi ya laki tano alitaka kuifanya baada ya mwezi, basi nkamwambia haina shida ntakupa, ila shart langu ni moja, nitumie hiyo laki mbili ulonayo then ntakutumia laki tano yote muda wa hiyo kazi ukifika. Hahaaaaa.....alianza kiswahili mara ooh sijui.......
Hahaaa sasa sabuni na mafuta unanunua Tani ngapi? Dah haya basi ntakumia gharama za uchakavu lol!Ndiyo ile inahudumiwa jamani inahitaji sabuni mafuta
hao uwasemao wewe wanajifunza kupiga mizinga, wataalam halisi hawapigi mizinga kwenye msg au sim. Mzinga unapigwa live bila kupepesa macho .... utatoa tu penda usipende!
Kwani kabla ya kutongozwa ulikua unapata wp hela?
Huwa wanajua kuongeza michepuko ni kuongeza mapato..One mchepuko ni sawa na laki tano/month, je? 10 michepuko ni kiasi gani kwa month? Hahaaaa mtu anaweza ondoka na milion tano kwa mwezi mkuu.Kwani kabla ya kutongozwa ulikua unapata wp hela?
huwa sipigi mizinga ya uongo nakwambia tu ukweli nataka laki moja nikanunue nguo au nikasuke au nikakae bar we uamue kunipa au lah
Kwani huna wazaz? nyie c ndo mnatakaga hak sawa kwa wote? 50 by 50 means what au kwenye pesa hakuna cha fifty fifty