Mwanamke akikujibu SMS yako hivi acha haraka sana kuchat nae

Mwanamke akikujibu SMS yako hivi acha haraka sana kuchat nae

Mkuu uko right ongeza na hii ya "ahadi ni deni"
Kuna baadhi ya kinadada pia baada ya kuongea na kuchat kama muda hivi, from no where unaeza pigwa deni la AHadi ambayo hata hujui uliihadi lini. Utastaajabu pale itakapo ambiwa" honey mbona ahadi yangu ya simu siioni" kazi itakuwa ni kwako hapo sasa sijui hio ahadi utaitoaje.. Ndo unadaiwa simu - ambayo hujui hata ni lini uliiahidi.. Pia bila kusahau simu inayotakiwa hapo ni smartphone,.
Mwisho'
Asante bro kwa kutuweka attention .. Kwani kuna watu saa hii wanajijitia bajeti zimeharibika

Hahahahaha, ahadi ni deni, na dawa ya deni ni kulipa.Umenifuraisha.
 
happiness win
Dada happy umesema kweli,
Lakini nakusihi kaombe kwa Mdingi,au Mom au hata Kaka zako akina Eddwin .Nisalimie Akina Mr & Mrs. Maro.
 
Mkuu uko right ongeza na hii ya "ahadi ni deni"
Kuna baadhi ya kinadada pia baada ya kuongea na kuchat kama muda hivi, from no where unaeza pigwa deni la AHadi ambayo hata hujui uliihadi lini. Utastaajabu pale itakapo ambiwa" honey mbona ahadi yangu ya simu siioni" kazi itakuwa ni kwako hapo sasa sijui hio ahadi utaitoaje.. Ndo unadaiwa simu - ambayo hujui hata ni lini uliiahidi.. Pia bila kusahau simu inayotakiwa hapo ni smartphone,.
Mwisho'
Asante bro kwa kutuweka attention .. Kwani kuna watu saa hii wanajijitia bajeti zimeharibika

unaweza kuwa uliahid wakat wa action time...!
maana pale panatamkwaga mengi, baadae ukiambiwa rudia hujui
 
HEEEEEEEE DADDY KUMBE UNAMWIBIA MAMA KIAINA BILA YEYE KUJUA KUWA NAWE UKO KUNDI BZZ?
HAYAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA :A S-eek::A S-eek::A S-eek::A S-eek::A S-eek::A S-eek::A S-eek::A S-eek:



CC: mwekundu, Asprin,

Ngoja niandike hizi notsi maana baadaye nina mpango wa kupiga simu kwa michepuko yangu yote....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom