Mwanamke akikujibu SMS yako hivi acha haraka sana kuchat nae

Mwanamke akikujibu SMS yako hivi acha haraka sana kuchat nae

Duh,jamaa kaifanya siku yangu kuwa murua kabisaa!! Nimecheka mpaka basi. Hivi huu uhalali wa wadada kupiga mizinga unatoka wapi!??
 
Huyu dr.mchunguzi kupitia tafiti zake inabidi jopo la wanataaluma wa jf lifikirie namna ya kumtunuku u-profesa.
 
kwani unafikiri mizinga tunapiga kila siku hapana ni pale maji yanapotufika shingoni why nihangaike kwingine na honey upo? ndo mana unakuwa wa kwanza kufikiriwa

hapa tunawasema wale wa kila siku wanashida hii mara ile...mara simu imepasuka kioo,mara kodi,mara besidei mara mchango wa kitchen party
 
hapo sasa ndugu yangu ni sheeeedaa yaani wanaume wa sasa wamebakia majina tu hata hawayajui majukumu yao kwa wake na wapenzi wao,wengi wao ni marioooo tu wanawake wanalo mbona!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
yani nashindwa ata kushangaa, eti mwanaume anaogopa kuombwa ela....sheeeeh...
 
Hahahaa... yaan ukinipiga iko kizinga nikikumata nasimamia vidole kabsa... nakupaua yaan mpaka hela yangu irudi

Hiyo kitu ipo kwaajili ya hiyo kazi....unaweza kudhani unamkomesha mtu kumbe unajikomesha wewe
 
hapo sasa ndugu yangu ni sheeeedaa yaani wanaume wa sasa wamebakia majina tu hata hawayajui majukumu yao kwa wake na wapenzi wao,wengi wao ni marioooo tu wanawake wanalo mbona!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hayo ndiyo madhara ya "Usawa wa kinjinsia", kabla ya Beijing haya yote hayakuwepo maana kazi zilikuwa bwerere kwa Wanaume, leo hii nafasi zote hizo na wanawake wamejaa sasa chaneli za pesa kwa wanaume hamuoni kama
zimebana...
 
Hiyo kitu ipo kwaajili ya hiyo kazi....unaweza kudhani unamkomesha mtu kumbe unajikomesha wewe

Wee nkiamua nmkomeshe lazima. Ukae mama... ayaa nkishapiga viroba nmekula ugar wa maana ikibid nakazia na mkuyati
 
Hivi grafani11 unajua nimekumiss kiasi gani we mutu? yaani nimekumisjie afu unanianzia tu na michambo ndo mambo gani hayo hata hi hamna mi staki ujue ohhooo?
Hayo ndiyo madhara ya "Usawa wa kinjinsia", kabla ya Beijing haya yote hayakuwepo maana kazi zilikuwa bwerere kwa Wanaume, leo hii nafasi zote hizo na wanawake wamejaa sasa chaneli za pesa kwa wanaume hamuoni kama
zimebana...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom