Mwanamke akikujibu SMS yako hivi acha haraka sana kuchat nae

Mwanamke akikujibu SMS yako hivi acha haraka sana kuchat nae

Wengine wanaomba pesa uso kwa uso kabisa bila haya!

Haya maisha yameshakuwa magumu sana mleta uzi! Mamanzi wa siku hizi bana, ukimtongoza siku hiyo hiyo anaanza kukupa demand schedule iliyojaa matatizo yake utadhani maji yalimfika shingoni..

Mi namshukuru mola sijakutana na vitimbwi vizito kama hivyo katika dating yangu na watoto a mujini.. lol!

Nikiona dalili tu ya kunyonywa damu, nafanya mishe fasta nakugegeda halafu naruka ukuta..! lol..
 


4. Au ukiona mwanamke anaanza kwa kukwambia nikwambie kitu? We mkatalie kiutani utani tu, mwambie usiniambie, hata akikomaa vipi akwambie mwambie sitaki uniambie huku unafanya kama utani lakini moyoni unakuwa upo serious.


Hiki kipande kimenigusa sana. Mimi nimuathirika sana wa hii item namba nne. Mwanzo nilitolewa sana pesa kwa njia hii ila baadae nikaja kuacha kujibu meseji ya namna hiyo na hata akipiga simu sipokei. Nakuja kumpigia usiku sana nikijifanya nilikuwa busy au nilikuwa na tatizo ambalo litamkatisha nguvu za kuomba pesa tena.
 
Mke mwema anatambulika mapema sana...

Hawa wanaoanza kwa mizinga ya kumi kumi mpaka laki kila siku ndo wanaokuja kuwa wezi wakubwa sana wa pesa za waume zao kwenye ndoa.....

Kuna situation inafika, mwanamke akikuomba pesa, unaitoa mwenyewe kwa moyo mmoja, hapo ujue kuna critic reason..

Sio kila time unaomba pesa kwa sababu zisizo na ubongo!..

Na mume mwema anajulikana mapema sana...kama mwanaume mchoyo anaonekana tu kwamba atakuwa anakuambia uandike matumizi ya hela anazokupa ukiwa mkewe
 
Ahhh muhimu kuwa na malengo tuu kama hujazoea kuwapa hela na wakiomba huwapi basi hata huwa hawaonbii hao nyinyi mnawazoesha vibaya
 
Hahahaa... yaan ukinipiga iko kizinga nikikumata nasimamia vidole kabsa... nakupaua yaan mpaka hela yangu irudi

Ha ha haaa, heshima yako mkuu Mkulu p jina lako lanikumbusha mbali sana ulipoingia tu humu ulilianzishia sredi kusema unaitwa Mkulu.pu.mbu. Nakumbuka watu walishuka mistari sana na jina lako hilo wengine wakatabiri halitachukua muda mrefu Mods watalipaua ili lisisound neno tata. Kweli Mods noma sana naona wamefanya yao wamelipaua!!!! Hapa tunaenda sawa.
 
Last edited by a moderator:
hao uwasemao wewe wanajifunza kupiga mizinga, wataalam halisi hawapigi mizinga kwenye msg au sim. Mzinga unapigwa live bila kupepesa macho .... utatoa tu penda usipende!
Kanuni ya kupiga mzinga au kukopa ni kwa mhusika kupiga simu wengi wanaotumia sms wengi wao huwa wanabip though wachache huwa wana shida but ili uwezekano wa mzinga wako kufanikiwa ukipiga simu una nafasi kubwa ya kupata. Katika maisha ya kawaida hata kama sio mpenzi wako, mtu yoyote akikukopa ela kwa sms especially wale ambao mnawasiliana mara chache (mara nyingi hata ulipaji wake ni shida au hana shida kubwa kivile though sio wote)
Teh teh teh. Happy una mambo! Sasa kama kama mpenzi uko mbali nae kwa muda huo, let say mkoa na mkoa utampigaje mzinga live?
Atatumia Skype
 
Unakuwa haumpendi tu, maana ukimpenda utatamani hata akupige mzinga ili mzidi kupendana
 
hivi kwani mtu akiomba lazima apewe ? Kama yeye hana iweje basi mimi niwe nazo ? Au matatizo yanachagua jinsia ?

Kwamba mimi mtu hakatazwi kuomba ila kupata sio guarantee na akumbuke kwamba na mimi siku nikiwa sina asisite kunisaidia unless kama hana kazi au kipato
 
Well,
Khantwe umesema vyema.

Binafsi huwa nawakubali sana wanawake wa kichagga. They have economic mind I can darely say that, sio kwamba wanawake wengine hawana au wako empty katika hiyo sector, simaanishi hivyo!

Mwanamke wa kichagga linapokuja suala la pesa, yuko tayari abuni vyanzo vya kuingiza pesa kuliko mirija ya kuchomolea hela, kwa wengi wao sifa hii wanayo.. Big up for that.

Tatizo lenu wanawake ninyi ni kwamba mkishakuwa na mwanaume aitwaye boyfriend, mawazo yenu yote yanalalia katika kuchuna tu na kubeba pesa kupeleka katika matumizi yasiyokuwa na kichwa wala wala miguu!

Imagine kama pesa mnazohongwa na mabwana zenu mngalikuwa mnawekeza japo katika miradi midogo midogo tu,

Enjoy this..

Ni mtazamo tu!
 
Last edited by a moderator:
Well,
Khantwe umesema vyema.

Binafsi huwa nawakubali sana wanawake wa kichagga. They have economic mind I can darely say that, sio kwamba wanawake wengine hawana au wako empty katika hiyo sector, simaanishi hivyo!

Mwanamke wa kichagga linapokuja suala la pesa, yuko tayari abuni vyanzo vya kuingiza pesa kuliko mirija ya kuchomolea hela, kwa wengi wao sifa hii wanayo.. Big up for that.

Tatizo lenu wanawake ninyi ni kwamba mkishakuwa na mwanaume aitwaye boyfriend, mawazo yenu yote yanalalia katika kuchuna tu na kubeba pesa kupeleka katika matumizi yasiyokuwa na kichwa wala wala miguu!

Imagine kama pesa mnazohongwa na mabwana zenu mngalikuwa mnawekeza japo katika miradi midogo midogo tu,

Enjoy this..

Ni mtazamo tu!


Na mtachunwa mpaka mpauke...... Wanawake wameshagundua michezo yenu michafu. Hamna mapenzi kabsa mnafikiria kuwatumia kingono then mnawamwaga. Na mimi nasema mchunwe tu maana hakuna namna nyingine...eeh tumeshachoka sasa.
 
Last edited by a moderator:
Na mtachunwa mpaka mpauke...... Wanawake wameshagundua michezo yenu michafu. Hamna mapenzi kabsa mnafikiria kuwatumia kingono then mnawamwaga. Na mimi nasema mchunwe tu maana hakuna namna nyingine...eeh tumeshachoka sasa.

Hivi kumbe mnatumika? mmekuwa vocha au chakula?

khantwe, blame no one when it comes to relationship..! Jamani mapenzi nayo ni Contract, it is ana agreement between two parties! a man and a woman!

Kama ulijipa muda wa kunifikiria zaidi ya mwezi ama wiki etc, wewe utasemaje unatumika?

Au mkataba wako uliusain kwamba unaenda kutumika?

Mwanamke ukishajiwekea mawazo ya kuwa na mahusiano ya kuchuna, sahau ndoa mapema kabisa! ukibahatika kuolewa, basi kaushia kabisa hako katabia ka kuchuna...

THis is a battle that every lover must fight.

 
Last edited by a moderator:
Lace wig linauzwa tshs 1,000,000/- original sijui kufanyajekufanyaje. Hapo bado kubandikwa. Hebu acha ubahili

Nunua kwa pesa yako,..yangu ni kwa ajili ya maendeleo ya familia.Unamkuta mwanamke anapendeza kwa nje lakini chakula hali,kisa kupendeza!
 
Na mume mwema anajulikana mapema sana...kama mwanaume mchoyo anaonekana tu kwamba atakuwa anakuambia uandike matumizi ya hela anazokupa ukiwa mkewe
Lazima akuambie uandike,...si anatafuta yeye?..acha utegemezi kama hupendi kufuatiliwa!
 
Hivi kumbe mnatumika? mmekuwa vocha au chakula?

khantwe, blame no one when it comes to relationship..! Jamani mapenzi nayo ni Contract, it is ana agreement between two parties! a man and a woman!

Kama ulijipa muda wa kunifikiria zaidi ya mwezi ama wiki etc, wewe utasemaje unatumika?

Au mkataba wako uliusain kwamba unaenda kutumika?

Mwanamke ukishajiwekea mawazo ya kuwa na mahusiano ya kuchuna, sahau ndoa mapema kabisa! ukibahatika kuolewa, basi kaushia kabisa hako katabia ka kuchuna...

THis is a battle that every lover must fight.



Whatever u call it....wanaume hamna jema...unaweza ukajishusha ukawa unashikamana na limtu pricelessly af ndoa anatangaziwa mtu mwingineee....mna maana ninyi?
Af hizo yutub unazoniwekea naomba bando
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom