Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
Whatever u call it....wanaume hamna jema...unaweza ukajishusha ukawa unashikamana na limtu pricelessly af ndoa anatangaziwa mtu mwingineee....mna maana ninyi?
Af hizo yutub unazoniwekea naomba bando
Hahahahaaa! you rock for sure.. pole kwa bundle la Jero!
mwambie mwalimu RCT akukopeshe tunnel guru...
btw, mapenzi ndo yalivyo kwa waafrika. uongo mwiiingi! halafu mwingine unaonekana kabisa, lakini mkiambiwa mnadanganywa mnaona vidudu vinawaingilia penzi lenu!
Mi nadhani msiwe mnatoa papuchi mpaka muolewe!.. Hii italeta real men kwenye relationship! sio hawa wa hit and marathon.. lol.
Mapenzi hayana mwenyewe!
Last edited by a moderator: