Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
Whatever u call it....wanaume hamna jema...unaweza ukajishusha ukawa unashikamana na limtu pricelessly af ndoa anatangaziwa mtu mwingineee....mna maana ninyi?
Af hizo yutub unazoniwekea naomba bando
Hahahahaaa! you rock for sure.. pole kwa bundle la Jero!
mwambie mwalimu RCT akukopeshe tunnel guru...
btw, mapenzi ndo yalivyo kwa waafrika. uongo mwiiingi! halafu mwingine unaonekana kabisa, lakini mkiambiwa mnadanganywa mnaona vidudu vinawaingilia penzi lenu!
Mi nadhani msiwe mnatoa papuchi mpaka muolewe!.. Hii italeta real men kwenye relationship! sio hawa wa hit and marathon.. lol.
Mapenzi hayana mwenyewe!
mke mwema anatambulika mapema sana...
Hawa wanaoanza kwa mizinga ya kumi kumi mpaka laki kila siku ndo wanaokuja kuwa wezi wakubwa sana wa pesa za waume zao kwenye ndoa.....
Kuna situation inafika, mwanamke akikuomba pesa, unaitoa mwenyewe kwa moyo mmoja, hapo ujue kuna critic reason..
Sio kila time unaomba pesa kwa sababu zisizo na ubongo!..
asante baby akeNdo maana nakupendaga kwa hizi busara zako
Sasa mnataka tuwaombe hela kina nani?
Heee hivi ukilalamika maisha magumu maana yake unataka upewe hela?
sasa kama huna msaada unauliza ya nini?" si ufunge kinywa chako....... unajichetua na maswali ya mtego nikwambie mazuri wakati kiuhalisia ni mabaya hapana kwa kweli......''Maisha yanasemaje kipenzi changu'' nitakujibu maisha yanataka hela na sina hela embu nitumie laki 5 hapo mar moja......
hiyo mizinga ya watoto wa chuo. Watu wazima hawapigi mizinga siku hizi .
Wadada wa kisasa wanatafuta mabwana wa kuwaoa -akikukamata ni fulu kukupunguzia stress za matatizo yako ya kifedha (hususani fedha ndogondogo za vijana wa mjini-kiweka mafuta kwenye kiverosa na kukaa samaki samaki ama Katalunya kunywa beer 3 za kuzugia)
Ukiona umemtumia mpenzi wako/mchumba wako/mchepuko wako/mke wako au hata rafiki wa kike wakati mwingine SMS ya kawaida tu kwaajili ya kumsalimia lakini yeye akakujibu moja kati ya majibu yafuatayo, tafadhali sana usiendelee kuchat nae maana kinachofuata hapo ni majanga tu.
KWA MFANO:
1. Ukimtumia sms ''Mambo mpenzi wangu?'' akikujibu ''mambo mabaya'', usimuulize kwanini mambo mabaya, ukimuuliza atakwambia kuwa ''sina hela dear''
2. Ukimtumia sms ''Maisha yanasemaje kipenzi changu'' akikujibu ''maisha magumu hubby wangu we acha tu'' usimuulize kwanini, ukimuuliza kwanini atakwambia ''nimefulia mwenzio kama nini sijui''
3. Ukimtumia sms ''Mbona kimya sana mchumba wangu, umenitupa kiasi hicho'' akikujibu ''sijakutupa wangu yaani mambo hata hayaendi'' usimuulize kwanini mambo hayaendi, ukimuuliza atakwambia kuwa ''yaani sina kitu mpenzi wangu, simu ilikuwa haina hata hela ya kubeep''
4. Au ukiona mwanamke anaanza kwa kukwambia nikwambie kitu? We mkatalie kiutani utani tu, mwambie usiniambie, hata akikomaa vipi akwambie mwambie sitaki uniambie huku unafanya kama utani lakini moyoni unakuwa upo serious.
Ni mara chache sana mwanamke akikwambia kuwa mambo mabaya, maisha magumu au mambo hayaendi huwa na matatizo mengine kama kuumwa, misiba.... n.k lakini THE REST ni wapigaji mizinga tu. Akikwambia maisha magumu mjibu ''pole wangu, mambo mengine vipi?''
Ukipewa majibu kama hayo, chagua moja, either usiendelee kuchat nae mpaka badae kidogo au mbadilishie maada ili kukwepa huo mzinga ambao unakuja mbele yako.
Dr. MCHUNGUZI HURU (PhD)
ukiona umemtumia mpenzi wako/mchumba wako/mchepuko wako/mke wako au hata rafiki wa kike wakati mwingine sms ya kawaida tu kwaajili ya kumsalimia lakini yeye akakujibu moja kati ya majibu yafuatayo, tafadhali sana usiendelee kuchat nae maana kinachofuata hapo ni majanga tu.
kwa mfano:
1. Ukimtumia sms ''mambo mpenzi wangu?'' akikujibu ''mambo mabaya'', usimuulize kwanini mambo mabaya, ukimuuliza atakwambia kuwa ''sina hela dear''
2. Ukimtumia sms ''maisha yanasemaje kipenzi changu'' akikujibu ''maisha magumu hubby wangu we acha tu'' usimuulize kwanini, ukimuuliza kwanini atakwambia ''nimefulia mwenzio kama nini sijui''
3. Ukimtumia sms ''mbona kimya sana mchumba wangu, umenitupa kiasi hicho'' akikujibu ''sijakutupa wangu yaani mambo hata hayaendi'' usimuulize kwanini mambo hayaendi, ukimuuliza atakwambia kuwa ''yaani sina kitu mpenzi wangu, simu ilikuwa haina hata hela ya kubeep''
4. Au ukiona mwanamke anaanza kwa kukwambia nikwambie kitu? We mkatalie kiutani utani tu, mwambie usiniambie, hata akikomaa vipi akwambie mwambie sitaki uniambie huku unafanya kama utani lakini moyoni unakuwa upo serious.
Ni mara chache sana mwanamke akikwambia kuwa mambo mabaya, maisha magumu au mambo hayaendi huwa na matatizo mengine kama kuumwa, misiba.... N.k lakini the rest ni wapigaji mizinga tu. Akikwambia maisha magumu mjibu ''pole wangu, mambo mengine vipi?''
ukipewa majibu kama hayo, chagua moja, either usiendelee kuchat nae mpaka badae kidogo au mbadilishie maada ili kukwepa huo mzinga ambao unakuja mbele yako.
Dr. mchunguzi huru (phd)
mic chaga hayo.
mnanjaa kma viwazi jeshi ha ha ha! jisimamia kila mwanaume atakuheshimu sio mizinga tyuuu.
vingine bar au club vinaendaga hata cent havina mwisho wa siku vinagegeduliwa hovyo..mmhh! fyuuuuu!
Sawa bosi niwezeshe basi laki 2 tu