Diason David
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 7,557
- 7,367
Watu tunagonga shavu kali tena bila cent nyiny wanaume wengine vp mmerogwaKaa na pesa zako.. Wanawake wazuri utaishia kuwaita mashemeji!
Umekosea kumtumia ilibid umwambie aje akifika utampa na io ndio fprmula yao mtu akiwatumia pesa ya naul hawajiKmmk apaa Kuna demu mekutana nae Jana nye..ge nye...ge zangu si memuelekeza tuonane akasma Hana nauli mjuba nikatuma mida ya saa 5 na demu ajaja mpaka saizi sema fresh tu demu mkari Alie nipiga
We c una pesa zq kuchezea endelea kuwachekea utavuna mabua na wanapenda wanaume wenye misimamo km ykoNa wanikimbie tu hii haina tofauti na kubeti
Haijalish siku. Anayeomba omba pesa piga chini
Dah c ungepiga puchuMkuuu apoo niliferi Yani sema nyegeziii izi mbaya sana
Nilivyo maliza tuu kuisoma hii Tred yako... Mamaaee... Nimeenda futa na ku'block namba ya mtu!... Niliyekutana naeee siku ya 1 na kuniomba elf 50 kisa anadaiwa.... PUMBAVUUUU...Nipo apa kuwatoa ujinga nyinyi wanaume mnaojifanya mna pesa yaan unakuta dume zima linajua na mwanamje first day denu anaanza njaa mara nina birthday.kuna mchango wa harusi .nimekopa nadaiwa nina shida ya sh fulani na mwanaume na akili timamu unatuma unajua anajuchukuliaje
JIBU : ANAKUONA BOYA NA HUJIELEWI
Mwanamke anapokuomba jua kakudharau na hana hofu ya kukupoteza hvo lolote litakalo tokea sawa tu leo unatuma na kesho unatuma tena kesho kutwa unamwambia NAKUPENDA anakujibu SIKUTAK
Akigundua kuwa unapesa nying ila akili hauna apa utapigwa mizinga ya maana ila papuchi atakupa ila akikuona fara sn hata papuch hakupi
Unampa pesa ya kusuka mwenzako anapendeza kisha anaenda kwa mwingine
NARUDIA TENA MWANAMKE ANAEKUPENDA HAWEZ KUKUOMBA PESA FIRST DAY
[emoji23][emoji23]Wee km huna pesa, kaa kwa kutulia tyuuh hakuna namna, ila wenye nazo acha wazitumie na ziwazoee. Khaaaaah