Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MmmmmmmmhHakuna ukweli wwte. Ukisema hvo basi wanawake unaokutana nao ni penda penda sana
Mi sijaelewa Mkuu hivyo hiyo namba anapewa pewa vipi?Hama huko uswahilini.
Unakuta binti umezoeana nae au huwa unaonana nae pasi na kumsemesha! ila mwisho wa siku unamuomba namba yake ya simu, anakupa chap tena bila iyana! Unampigia jioni yake kumjulia hali! Baada ya siku tatu unamwambia njoo nyumbani tuzungumze kitu, anakuja chap tena ndani ya muda! ila yule ambae naomba namba na anagoma kunipa (ni nadra lakini), hata nimtege vipi aje gheto, hata kama ni kwa ahadi ya kumpatia pesa! Haji hata!Mi sijaelewa Mkuu hivyo hiyo namba anapewa pewa vipi?
Huko uswahilini anapewa na waswahili wenzake ambao hawachagui.Mi sijaelewa Mkuu hivyo hiyo namba anapewa pewa vipi?
[emoji23][emoji23]Huko uswahilini anapewa na waswahili wenzake ambao hawachagui.
Mkuu hauna hofu ya Mungu mpaka ujihusishe na wanawake wengi? Tafuta mmoja, funga ndoa nawe utaona baraka katika maisha yako.[emoji23][emoji23]
Sio tu uswahilini mkuu! Kotekote ambako nimewahi kuishi!
Haijawahi tokea mwanamke anipe namba yake ya simu halafu aninyime papuchi!!
Huna hela kaka...wanawake rahisi sana ukiwa na hela na v8 yakoNishapewa namba na madem kadhaa wenye mabwana zao. Nikaishia kupigwa bluetick, wanawake sio rahisi hivyo unavyodhani.
MmhUnakuta binti umezoeana nae au huwa unaonana nae pasi na kumsemesha! ila mwisho wa siku unamuomba namba yake ya simu, anakupa chap tena bila iyana! Unampigia jioni yake kumjulia hali! Baada ya siku tatu unamwambia njoo nyumbani tuzungumze kitu, anakuja chap tena ndani ya muda! ila yule ambae naomba namba na anagoma kunipa (ni nadra lakini), hata nimtege vipi aje gheto, hata kama ni kwa ahadi ya kumpatia pesa! Haji hata!
Hahahaaa. LolHuko uswahilini anapewa na waswahili wenzake ambao hawachagui.
Kumbe ndo maana mpya ya kutoa namba ya simu?? Haya makubaliano yalifikiwa kwenye kikao kipii??Kamwe, mwanamke ambaye hajatokea kukupenda ama ambaye hujamvutia, hawezi kukupatia namba yake ya simu, anapokupatia anasubiri utayari wako tu kama utamuhitaji kimapenzi zaidi!", ilikuwa ni sauti ya mwanadada ambaye nimezoeana nae, tu majilani!
Huwa namshirikisha mambo mengi kuhusu mahusiano! Amekuwa ni mshauri wangu sana!
Hivi hiyo kauli ina ukweli ndani yake?