Jipe moyoKamwe, mwanamke ambaye hajatokea kukupenda ama ambaye hujamvutia, hawezi kukupatia namba yake ya simu, anapokupatia anasubiri utayari wako tu kama utamuhitaji kimapenzi zaidi!", ilikuwa ni sauti ya mwanadada ambaye nimezoeana nae, tu majilani!
Huwa namshirikisha mambo mengi kuhusu mahusiano! Amekuwa ni mshauri wangu sana!
Hivi hiyo kauli ina ukweli ndani yake?
👍“Once prayer becomes a habit, success becomes a lifestyle.”
Umenena vyema mrembo..Aiseeehhh!!!
so mkipewa namba yatari point 3 za mezani!!??[emoji15][emoji15]
Ukielewa kwa umakini utajua kuwa mtoa mada yupo sahihi, uzuri amesema anefanya kautafiti kwa hao hao wanawake shirikisha ubongo wako utagundua ukweli upo wapiNamba za wanawake wote ulizonazo kwenye Phone book yako wameridhia kufanya mapenzi na wewe?
Yeah possible shida itaanza pale mpewa namba afeli kuzichanga,Aiseeehhh!!!
so mkipewa namba yatari point 3 za mezani!!??[emoji15][emoji15]
It becomes an easy task when you already know where to hitHunting is not easy as u think!
Ndo maana umefumaniwaHuna hela kaka...wanawake rahisi sana ukiwa na hela na v8 yako
Siyo kufanya mapenzi ameridhia mfanye biashara ya ngono. Siku hizi ni hela yako tu unapata ngono. Wanawake wengi/majority (ILA SIYO WOTE) wanafanya ngono in exchange for money, gifts, properties wengi wanajiuza, ukiona amekubali mawasiliano siyo kwamba AMEKUPENDA au UMEMVUTIA, ni vile kaona unaweza kuchangia kutimiza mahitaji yake, na huo ndiyo ukweriiiii!! Mapenzi hakuna ni sex trade tu sasa.Kamwe, mwanamke ambaye hajatokea kukupenda ama ambaye hujamvutia, hawezi kukupatia namba yake ya simu, anapokupatia anasubiri utayari wako tu kama utamuhitaji kimapenzi zaidi!", ilikuwa ni
Hahaha wapi tena huko nilifumaniwaNdo maana umefumaniwa