Mwanamke akiniomba hela namchukia hapo hapo

Mwanamke akiniomba hela namchukia hapo hapo

Quan Lup

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2016
Posts
683
Reaction score
946
Kwema wakuu

Sijui ni kwangu tuu au ni kwa wanaume wote yaani mimi mwanamke akiniomba hela namchukia hapo hapo nakasirika haswa sasa kuna mmoja alinijulia akaniambia sitokaa nikuombe tena hela cal nimechoka na visa vyako.

Kweli tokea siku ile hajawahi niomba hela mpaka mm nimpe mwenyewe na sijawahi gombama nae tena huyu peke ndo alijua udhaifu wangu. Ila hawa wengine bado wanateseka sana maana nakuwa navisirani saana.

Naombeni msaada hii hali siipendi kabisa

Note hela ninazo sema sio nyingi. Ni kiasi
 
Wengine huwa wanaomba pale ambapo unakua umejisahau Kabisaa Kama una mtu na unahitajika kum support kwa chochote,japo Kuna wanaume wengine hutoa hata bila kuomba.

Ila Kuna wadada wengine kuomba hovyo Ni desturi yao Sasa hii ndo inakeraaa.

Ila nadhani inatokana na maishakuwa magumu
 
Wengine huwa wanaomba pale ambapo unakua umejisahau Kabisaa Kama una mtu na unahitajika kum support kwa chochote,japo Kuna wanaume wengine hutoa hata bila kuomba. Ila Kuna wadada wengine kuomba hovyo Ni desturi yao Sasa hii ndo inakeraaa. Ila nadhani inatokana na maishakuwa magumu
Ndio wanakera sana kuomba ombaa
 
Wengine wanajiliza kwa kujifanya amefiwa na bibi yake, Shangazi yake n.k ili akuibie hela wewe Mwanaume [emoji108][emoji108]

Mwingine anakwambia anauguza n.k.

Mwingi anajifanya anasafiri kwenda msibani mkoani kumbe anaenda kwa waganga au yupo tu mjini lakini hela atakuibia tu!
 
Back
Top Bottom