Mwanamke akiniomba hela namchukia hapo hapo

Mwanamke akiniomba hela namchukia hapo hapo

Mwanaume toa hela bwana usisubiri mpaka uombwe.Ukimhudumia huyo mmoja akipendeza tamaa za kuangalia huyu na huyu zinapungua kidogo.Wako kakauka uhudumii unaenda kumtamani Aisha aliyependezeshwa na mwanaume mwenzako.Kuna mtu kasema hapo juu maisha ni magumu muwe waelewa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Waambie tu wanaume wajue jaman
Mtupe hela haina namna
 
Pesa yangu atafaidi asiye mchoyo wa sex basi, I need sex not less than 5 rounds, that 5hours minimum. Na lazima nipige siku 3-5 mfululizo ili nitoe mapepo pandikizi yote. Nipe nawe nikupe, mjadala wa mpalange mapema saana baada ya siku 5 nikipewa kabla au nikiona mlege wa tembele napeleka. Pesa na mpalange ndio kauli mbiu

Kheeee
Nchi hii ina vijana wa hovyo kweli
 
Ni Wanaume tu wajinga wanatumia pesa kuwapata wanawake
Ila ikitokea kugoma kutoa pesa watakufwata wanawake warembo tu Tena wenye future achana na Malaya
Ukiona una Mke Kila saa anaulizia hela ujue haulizwi kwako peke yako
Anajaribu kuoanisha hao wanaomhonga nje na wewe mume wake nani zaidi
 
Ngoja waje kuchukua muongozo...

Kwangu vyovyote sawa tu, ukiomba sawa, usipoomba ni sawa pia... mambo yako nakuachia mwenyewe...
Napokua nayo natoa pasipo hata mwanamke kutarajia...
 
Hata mimi bibi yangu mzaa baba kapanda hii mbegu kwangu kususa kama zote hata mbususukwinyo naiona hii live napiga dole then nasema sepa nayo naicha kweli natoa nauli nasepa au pakiza kwenye gari escort tupa kule, block la nguvu, with money don't click shit, hoopers are in abundance.
Sinaga hizo mambo za kususa mimi, nisuse namsusia nani.
Huwa sisusi na ukisusa sijali.l, kama ni dem wangu ntakubembeleza kinafki tu usije katisha kunipa mbususu. Ukizidisha hiyo misuso nakupotezea tu.
 
Back
Top Bottom