Mwanamke akiniomba hela namchukia hapo hapo

Mwanamke akiniomba hela namchukia hapo hapo

Nipe bas hata wewe, hela ya mwanaume tamu sana
😄😃😀Umeua Comment Chachu Hii
Mleta Mada Akiiona Atavimba Atapasuka
Hasa Kusema Pesa Tamu Hasa Itoke Kwa Mwanaume
 
😄😃😀Umeua Comment Chachu Hii
Mleta Mada Akiiona Atavimba Atapasuka
Hasa Kusema Pesa Tamu Hasa Itoke Kwa Mwanaume
Hata mwanaume anajisikia vizuri akimpa mpenzi wake hela, anaona ufahari mwanamke wake akipendeza kwa gharama zake
 
Kwema wakuu

Sijui ni kwangu tuu au ni kwa wanaume wote yaani mimi mwanamke akiniomba hela namchukia hapo hapo nakasirika haswa sasa kuna mmoja alinijulia akaniambia sitokaa nikuombe tena hela cal nimechoka na visa vyako.

Kweli tokea siku ile hajawahi niomba hela mpaka mm nimpe mwenyewe na sijawahi gombama nae tena huyu peke ndo alijua udhaifu wangu. Ila hawa wengine bado wanateseka sana maana nakuwa navisirani saana.

Naombeni msaada hii hali siipendi kabisa

Note hela ninazo sema sio nyingi. Ni kiasi
Aah km unatoka bila kuomba sawa,haina shida!
Ila ungekuwa hutoi kabisa,hilo lingekuwa suala lingine
 
Kwema wakuu

Sijui ni kwangu tuu au ni kwa wanaume wote yaani mimi mwanamke akiniomba hela namchukia hapo hapo nakasirika haswa sasa kuna mmoja alinijulia akaniambia sitokaa nikuombe tena hela cal nimechoka na visa vyako.

Kweli tokea siku ile hajawahi niomba hela mpaka mm nimpe mwenyewe na sijawahi gombama nae tena huyu peke ndo alijua udhaifu wangu. Ila hawa wengine bado wanateseka sana maana nakuwa navisirani saana.

Naombeni msaada hii hali siipendi kabisa

Note hela ninazo sema sio nyingi. Ni kiasi
Amini kwamb, anae kuomba ela sana ana fake love as vice versa.
 
Kwema wakuu

Sijui ni kwangu tuu au ni kwa wanaume wote yaani mimi mwanamke akiniomba hela namchukia hapo hapo nakasirika haswa sasa kuna mmoja alinijulia akaniambia sitokaa nikuombe tena hela cal nimechoka na visa vyako.

Kweli tokea siku ile hajawahi niomba hela mpaka mm nimpe mwenyewe na sijawahi gombama nae tena huyu peke ndo alijua udhaifu wangu. Ila hawa wengine bado wanateseka sana maana nakuwa navisirani saana.

Naombeni msaada hii hali siipendi kabisa

Note hela ninazo sema sio nyingi. Ni kiasi
Walio kama ww katika mia wawili labda maana mm x wangu jaman alikuwa hatoi pesa yoyote asipoonbwa yaan sitakuja msahau maisha yangu yote, alikuwa mbinafsi Sana, sijuwah muomba peaa jamanii but siku moja nikapata shida , ikabid nimuonbe yy jibu lake ni Sina mara zote,,.sijui kama atakuja dumu nla mwanake,
 
Pesa yangu atafaidi asiye mchoyo wa sex basi, I need sex not less than 5 rounds, that 5hours minimum. Na lazima nipige siku 3-5 mfululizo ili nitoe mapepo pandikizi yote. Nipe nawe nikupe, mjadala wa mpalange mapema saana baada ya siku 5 nikipewa kabla au nikiona mlege wa tembele napeleka. Pesa na mpalange ndio kauli mbiu
 
Mkimbie mwanamke hawezo tumia akili yake ya kuzaliwa kujitafutia hela yake halali kutatua matatizo yake mwenyewe huyo ni kilaza akakuzalia watoto viazi ndezi majinga jinga

Nashukuru kwetu bimkubwa wangu ni very hard work ana asset kibao hapa mjini na daima ananihusia usioe golikipa katu usioe golikipa.

Na umpime huyo mwanamke akili yake sawa sawa nami nafanya hivyo kwani bimkubwa sio mtu kuzubaa hata chembe mvhakarikaji ile mbaya.

Wanawake badilikeni



Ni kweli sababu kitaalam mtoto huchukua akili kwa Mama yake mzazi.

Kwa hiyo ukizaa na kilaza utapata vilaza?!
 
Walio kama ww katika mia wawili labda maana mm x wangu jaman alikuwa hatoi pesa yoyote asipoonbwa yaan sitakuja msahau maisha yangu yote, alikuwa mbinafsi Sana, sijuwah muomba peaa jamanii but siku moja nikapata shida , ikabid nimuonbe yy jibu lake ni Sina mara zote,,.sijui kama atakuja dumu nla mwanake,
Inategemea na uzuri wako na vibes zako kama huna maajabu na ana wengine jiachie ukipenda ni wewe. Je wewe ni pis kali au wewe ndie ulidata kwake?
 
Mwanaume kabisaa una kisirani??? Au umekosea kuandika ama umemaanisha kitu kingine na sio kisirani??

Kwa kifupi haifai mwanaume kua na kisirani.
Hata mimi bibi yangu mzaa baba kapanda hii mbegu kwangu kususa kama zote hata mbususukwinyo naiona hii live napiga dole then nasema sepa nayo naicha kweli natoa nauli nasepa au pakiza kwenye gari escort tupa kule, block la nguvu, with money don't click shit, hoopers are in abundance.
 
Mkimbie mwanamke hawezo tumia akili yake ya kuzaliwa kujitafutia hela yake halali kutatua matatizo yake mwenyewe huyo ni kilaza akakuzalia watoto viazi ndezi majinga jinga

Nashukuru kwetu bimkubwa wangu ni very hard work ana asset kibao hapa mjini na daima ananihusia usioe golikipa katu usioe golikipa.

Na umpime huyo mwanamke akili yake sawa sawa nami nafanya hivyo kwani bimkubwa sio mtu kuzubaa hata chembe mvhakarikaji ile mbaya.

Wanawake badilikeni

Tumekusikia
Ila na nyie muda mwingine muwe mnajishtukia
 
Back
Top Bottom