kuomba tu si shida, shida ni kuomba omba hata pasi na ulazima wa jambo.
Nipo hapa njoo uchukue.Naomba hela[emoji4]
Ndio wanakera sana kuomba ombaaWengine huwa wanaomba pale ambapo unakua umejisahau Kabisaa Kama una mtu na unahitajika kum support kwa chochote,japo Kuna wanaume wengine hutoa hata bila kuomba. Ila Kuna wadada wengine kuomba hovyo Ni desturi yao Sasa hii ndo inakeraaa. Ila nadhani inatokana na maishakuwa magumu
Pokea mwambie hunaJana niliombwa yabkusuka eld 20 mpk sas sipokei simu
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Uwe na kisirani wewe..uombe msaada kwetu!!!..pambana na omba omba wako[emoji23][emoji23]
Naomba helakuomba tu si shida, shida ni kuomba omba hata pasi na ulazima wa jambo. Kama vile ww unaziokota.
Mwenza...i miss uuuMsisubiri mpaka muombwe na nyie muwe tu mnajiongeza [emoji16]
Miss you more mwenza [emoji8][emoji8][emoji8]Mwenza...i miss uuu
Tumepoteana sana sikuoni siku hiziMiss you more mwenza [emoji8][emoji8][emoji8]